Robert Mugabe says he will propose to Barack Obama

Robert Mugabe says he will propose to Barack Obama

Africa tuna Rais mmoja tu Mugabe, na vile siku zake zinaenda ukingoni sidhani kama Afrika itapata tena Rais wa aina yake. !

Africa tuna Mugabe, Asia wana Putini.!

well said mkuu,wengine wote chai ya rangi.
 
tupige kura ya maoni kukataa ocean road kuendelea kuitwa Barak Obama....irejeshwe jina la zamani...hili sio vita na usa bali na mtu alo udhalilisha uafrika kwa kukubali ushoga ...jambo ambalo limekatazwa na dini zote za Abraham na zile za jadi..ameukashif uafrika...Tulifute jina hili na Turejeshe jina la zamani...
 
Huyu mzee haishi vituko na mbwembwe!


images
 
Huyu nae, instead of worrying about the difference between Zimbabwean dollar and American Dollar he's sniffing on American internal affairs...
Like America sniffs on his internal affairs.
 
Africa tuna Rais mmoja tu Mugabe, na vile siku zake zinaenda ukingoni sidhani kama Afrika itapata tena Rais wa aina yake. !

Africa tuna Mugabe, Asia wana Putini.!

Ni kweli lkn baada ya Mwl. Nyerere.
 
Tunatakiwa tupate marais wenye msimamo kama mugabe nakumbuka hata Cameron aliwahi kumwambia kama anataka ndoa ya jinsia moja waanze wao yani Cameron aolewe na mugabe halafu amzalie watoto ndo wafuate laia

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Rais wa failed state, analia lia kutafuta attention. alikuta inflation 3 % alipochukua nchi mwaka 1980, ona sasa ...
 
Like America sniffs on his internal affairs.

Kha!, kwa kipi?!,......Hahaaaa!, usinchekeshe mie!
Si they'd rather use their 5 min of loose time spying on my beautiful Tz kuliko hichi kituko!
 
Hivi kuna video au hata audio ya hayo anayodaiwa kayasema?

Ni ngumu mimi kuamini kuwa kayasema hayo maneno.

Nahitaji video na/au audio ili nijiridhishe.

Kuna mwenye nayo?
 
Wanabody,
Salaam..!

Sijaingia huku kitambo sana,nimekutana na hii habari nikaona niilete huku. Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe,anataka kumuoa mwenzie wa Marekani Barrack Obama baada ya Mahakama kuu nchini marekani kuidhinisha ndoa za jinsia moja nchi nzima.

My take;Robert Mugabe ana utani wa ngumi huyu mzee,sijui huwa anajiamini nini!!?

Source;BBC-SWAHILI
 
Hii habari kama ni ya kweli ungewapelekea Forum ya Kenya kule ili waamue kama wanamkubali au kumkataa mkwe, coz huwa wanasema Obama ni kijana wao.

Hehe i'm sorry Neighbours, i just couldn't let it pass.
 
Mzee Taifa lake masikini amekalia ubabe wa mdomoni tu kama muimba taarabu ana reject white people wakati ndo wanaendesha ulimwengu hata Haimsaidi badala yake inamkandamiza tu
d85316f24ddc077f9ab56fa4780c87ea.jpg
Huyu wakutumia drone tu mpaka kwenye kibanda chake
 
Wanabody,
Salaam..!

Sijaingia huku kitambo sana,nimekutana na hii habari nikaona niilete huku. Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe,anataka kumuoa mwenzie wa Marekani Barrack Obama baada ya Mahakama kuu nchini marekani kuidhinisha ndoa za jinsia moja nchi nzima.

My take;Robert Mugabe ana utani wa ngumi huyu mzee,sijui huwa anajiamini nini!!?

Source;BBC-SWAHILI

Wale ni watani mke wa obama kwao zimbabwe so wanajuana si kunasiku mugabe alikua anadai mali kwa obama kwajili ya mke wa obama
 
Wale ni watani mke wa obama kwao zimbabwe so wanajuana si kunasiku mugabe alikua anadai mali kwa obama kwajili ya mke wa obama
Ha haa Mkuu millers hata km ni watani,utani km huu wewe unaweza kuuvumilia kweli...!!!?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom