Robert Mugabe says he will propose to Barack Obama

Robert Mugabe says he will propose to Barack Obama

.....tatizo sio kuogopa Mugabe kunitolea posa (FYI am a woman)
Tatizo ni kutolewa posa na kiumbe kama kile!
Halafu pilipili iliyo shamba sijui yawawasha nini!

Kwani Mugabe yupo je???.
 
Obama ni Rais mwenye asili ya Afrika lakini amelitia doa bara hili .
Hata hivyo Haijulikani nini kimemfanya aunge mkono mahanatha haya ila inawezekana ni njia moja ya kuliangamiza kwa makusudi taifa hilo....ana damu ya Hussein hivyo njia laini nyepesi ni kurusu maboga kuoana hivyo kuua kizazi cha usa siku zijazo

Nilimuheshimu sana Obama nikamchukilia kuwa Kiongozi mwenye Hekima na Busara lkn Kwa kuunga mkono machafu haya Sitamuheshimu tena,mimi ninamwona km Lofa tu japo yeye atajiona km kiongozi bora,Huyu anatumia Hekima ya kibinadamu ndiyo maana anakubali hata uozo ovyo kabisa hii njemba haifai hata kwa bure,Kiongozi bora ni yule anayefuata Maongozi ya MUNGU.
 
Kwa mtindo huu Adhabu ya Mungu hatutaikwepa!,Laana hizi watu km akina Obama kuhalalisha kitu ambacho ni Against Nature,ni jambo la aibu na la Hatari sana halafu eti watu wanamsifu kuwa kiongozi bora,Kumbe ni uozo tu!,hafai kabisa huyu.
 
Hakuna tofauti yoyote, wanaume wawili mpo uchi mmejifungia mlango mpaka asubuhi, ukitoka humo utajisifu wewe kidume kweli? Watu watajuaje kama na wewe ujakazwa? Kwanza hizo ndoa za mashoga unazosikia, kila mmoja anamwita mwenzake husband, hakuna wife hapo.

teh teh teh teh...mimi nilikuwa naongelea matumizi ya maneno hayo mawili!..hayo ya kuwa uchi mkajifungia mlango hadi asubuhi na mkitoka watu watajuaje,hayo yenu sasa wenye fani zenu!
 
Unajua bora tuwe wakweli.inasemekana hapa tanzania kuna wanaume ni mashoga.na nchinyingine tanzania.sasa nadhan kwa uelewa wangu wenzetu wamarekan wameamua kuwaachia kabisa waoane kulikon sis tunaofanya kwakujificha.pia kama bangi kina nchi kama jamaica.uruguay.cololmbia inavutwa kama sigara ya kawaida.ila bongo bado ni haramu.sasa ubaya ni upi na uzur ni upi.?nimawazo yangu tu

Tatizo letu la kukana ukweli na kukumbatia vitu ambavyo havita umiza hisia zetu sana.
Hata tusiende mbali, hapa JF, na kwenye other social media, tumeona hii issue mara ngapi?!, and it's all over!, the reason that they legalized it and we haven't don't make us saints. Gay people live among us.
 
.....tatizo sio kuogopa Mugabe kunitolea posa (FYI am a woman)
Tatizo ni kutolewa posa na kiumbe kama kile!
Halafu pilipili iliyo shamba sijui yawawasha nini!

Mugabe nadhali kala watotp wakali kuliko wewe ambao nadhani hata theluthi yao hufikii alafu unasema kile kiumbe. angalia remi ongala,wasira wana sura mbaya ila wana wanawake ambao wewe hufikii hata robo yao. wanawake wa humu mnajifanya wajanja wakati mna sura mbaya sana na hamuuziki uraiani alafu mnajifanya hapa eti kile kiumbe wakati wewe mwenyewe uko kama kiazi hueleweki wapi nyuma wapi mbele.
 
Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe
Robert Mugabe ameukejeli uamuzi wa Marekani
kuhalalisha ndoa za mashoga katika majimbo yote 50
kwa kuahidi kusafiri hadi White House na
kumchumbia Barack Obama.
Wakati wa mahojaino ya kila wiki na kituo cha redio
cha taifa, rais wa Zimbabwe alitania kwamba
amepanga kwenda Washington DC kupiga goti moja
na kuomba kumchumbia.
Rais Barack Obama wa Marekani
Mugabe, ambaye anajulikana kwa kupinga vikali
mahusiano ya jinsia moja, alikuwa akijibu kuhusiana
na marekebisho ya kifungu cha 14 cha Marekani.
Katiba inawahakikishia mashoga na wasagaji kuwa
na haki sawa kuoana kama walivyo watu wengine.
Mahakama Kuu ya Marekani
Akizungumzia hilo siku ya Jumamosi, Mugabe
alisema: "Nimeshahitimisha – kuwa tangu Rais
Obama aidhinishe ndoa za jinsia moja, kutetea watu
mashoga na kufurahia kukubalika –kama vile ni
jambo la lazima, nitasafiri hadi Washington, DC,
kumchumbia.
WANAITA USHOGA/NDOA ZA JINSIA MOJA ILI KUPUNGUZA MAKALI
ULE NI U.S.E.N.G.E TU;HAKIKA MAREKANI NI TAIFA LA K.I.S.E.N.G.E.......
iko katika maandiko.
 
WANAITA USHOGA/NDOA ZA JINSIA MOJA ILI KUPUNGUZA MAKALI
ULE NI U.S.E.N.G.E TU;HAKIKA MAREKANI NI TAIFA LA K.I.S.E.N.G.E.......
iko katika maandiko.

Kitabu gani mkuu na mstari wa ngapi unasema marekani ni taifa la kisenge?
 
teh teh teh teh...mimi nilikuwa naongelea matumizi ya maneno hayo mawili!..hayo ya kuwa uchi mkajifungia mlango hadi asubuhi na mkitoka watu watajuaje,hayo yenu sasa wenye fani zenu!

Sasa kati ya hayo maneno mawili wewe unatumika wapi hapo, mbele au nyuma?
 
Wanajamvi kama kuna mwenye CV ya Mugabe tupeane kwasababu anaonekana kuwa ni comedian hivi achilia mbali mdororo Wa uchumi alionao! Mugabe anacheza kisengeri karibu na mzinga Wa nyuki.
 
wanajamvi kama kuna mwenye cv ya mugabe tupeane kwasababu anaonekana kuwa ni comedian hivi achilia mbali mdororo wa uchumi alionao! Mugabe anacheza kisengeri karibu na mzinga wa nyuki.
huyu ni msomi aliyetukuka
elimu yake haina shaka asilani
matatizo yanayomkuta
ni kwasababu tu
hataki kuwaabudu wazungu....kama viongozi wengine wa kiafrika wanavyofanya.
 
Mugabe nadhali kala watotp wakali kuliko wewe ambao nadhani hata theluthi yao hufikii alafu unasema kile kiumbe. angalia remi ongala,wasira wana sura mbaya ila wana wanawake ambao wewe hufikii hata robo yao. wanawake wa humu mnajifanya wajanja wakati mna sura mbaya sana na hamuuziki uraiani alafu mnajifanya hapa eti kile kiumbe wakati wewe mwenyewe uko kama kiazi hueleweki wapi nyuma wapi mbele.

Hahaaaaa!, mbona pole zao hao waloliwa!
Umeguswa cause inaonekana na wewe hauta mind kuliwa na watu kama hao...kwikwi!
 
Kweli hiyo itavunja rekodi ya dunia. Naomba aende na barua ya ushenga na kishika uchumba kabisa! hahahahaha
 
Amegusa hanga zako nini?
Huyu nae, instead of worrying about the difference between Zimbabwean dollar and American Dollar he's sniffing on American internal affairs...
 
Back
Top Bottom