Mkuu Bavaria kwani hapo ujinga wake ni nini!!? Mugabe msimamo wake juu ya mapenzi ya jinsia moja unajulikana Duniani kote. Hii kauli yake ni kebehi tu kwa wamarekani kuonyesha kukerwa ni jambo hilo. Haina maana kwamba anataka kumuoa kweli.Huyu mzee angekaa kimya angeonekana ana busara sana.
Mkuu Bavaria kwani hapo ujinga wake ni nini!!? Mugabe msimamo wake juu ya mapenzi ya jinsia moja unajulikana Duniani kote. Hii kauli yake ni kebehi tu kwa wamarekani kuonyesha kukerwa ni jambo hilo. Haina maana kwamba anataka kumuoa kweli.
Huyu mzee angekaa kimya angeonekana ana busara sana.
Wewe utakuwa ni gay sio bure.
I'm not
I'm not
Unanielewa ivi? Narudia am not homosexual mimi ni Heterosexual Hiyo ndo sexuality YanguAu uliwahi kuwa ama unatamani kuwa?
Nikuogope nakujua?We sema tu,usiogope
Sasa kama wanakuongoza na kukupangia uishi vp yani wanapanga bajeti na misaada kibao mnapokea (marekani) ww tz utaweza kweli kupinga?? tuendelee kukataa midomoni but time will tell
Kingine am not a homesexual mimi ni heterosexual so siko attracted na people wa same gender na mimi Hio ndo sexuality Yangu we unadhani kuwa homo au biosexual nikupenda unauelewa na masuala ya hormone?!?
Kwa hiyo kama ni mwanaume halafu hormone zikawa za kike suluhisho ni kusuguliwa? Na kama kusuguliwa kipi kitasuguliwa, jibu ni moja sehemu ambayo hairuhusiwi, pinga ushoga na ndoa za jinsi moja.
Nilimshamngaa sana Obama kukubali hili jambo lipite kwenye utawala wale.
Ndo hivo tena dunia ya mwisho binaadam atamkufuru sana Mola wake.
Note
Kuliumbwa Adam na Hawa.wakaingiliana wakapata kizazi.
Na sio
Adam na Joseph.[/QUOTE\] Au Adam na Juma
Hairuhusiwi na nani?
tayari ana mume ambae ni mshua ni kinyume kutaka mke wa mtuWewe unaweza kumuoa hata mama yako.
Izo sasa busara za ki*****enge
Kwa hiyo kama ni mwanaume halafu hormone zikawa za kike suluhisho ni kusuguliwa? Na kama kusuguliwa kipi kitasuguliwa, jibu ni moja sehemu ambayo hairuhusiwi, pinga ushoga na ndoa za jinsi moja.
Hairuhusiwi na nani?
Mnyenzi hapo kwenye red ametumia neno "Isiyoruhusiwa" wewe umehoji "Hairuhusiwi na nani" nikakuambia kuwa wewe unaweza kumuoa hata mama yako ukajibu kuwa"ni kinyume kutaka mke wa mtu" sasa mimi nataka kujua kuwa ni kinyume na nini ikiwa umehoji nani asiyeruhusu kuingiliana kinyume na maumbile?tayari ana mume ambae ni mshua ni kinyume kutaka mke wa mtu
Wanabody,
Salaam..!
Sijaingia huku kitambo sana,nimekutana na hii habari nikaona niilete huku. Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe,anataka kumuoa mwenzie wa Marekani Barrack Obama baada ya Mahakama kuu nchini marekani kuidhinisha ndoa za jinsia moja nchi nzima.
My take;Robert Mugabe ana utani wa ngumi huyu mzee,sijui huwa anajiamini nini!!?
Source;BBC-SWAHILI
Hairuhusiwi na nani?
Kuna audio au video ya yeye akiongea hivyo?
ushaambiwa source ni BBC Swahili!
Mbona maswali mingi,iko namna hapa?