Shangazi na hawa mara yamaekuwa haya? Shangazi alikuwa anakanywa hasikii, ona sasa kamkosesha baba yake mdogo ulaji sababu ya akina Maalim na Zitto, alafafu leo wamefikia haya? Na hawezi fanya kazi za uwakili bongo mpaka Joni aondoke, na huko Znz hakukaliki. Kweli siasa shikamoo.Mbaya wetu tuna mjua. Kwanini ni mbaya tunajua. Kwanini ni muhimu awajibishwe pia tunajua.
Kwamba mtakuka na vi hoja vyepesi vyepesi kutuhadaa?
Hatudanganyiki!