wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,795
It is a sole in the ass to the Lumumba guys. They will explode in furry.Hii ni tweet alioiandika siku ya jana:
Nothing can remedy the suffering of the Tanzanian people who were injured or killed or arrested during the recent election. I want to thank Utibe Ntekim and our team for their excellent work. We filed today at the ICC!! More to come!!
Nyingine ni hii ikihusiana na hiyo ya hapo juu:
All of our work on Tanzania is dedicated to the incredible heroism of Tundu Lissu!! His is an example for the ages! When Tanzania is free it shall have TL as its rightful leader!
Utopolo
Usijidangany weye. Dereva hata siku moja hasimamishi gari ili amrushie mawe mbwa anayebweka kando ya barabara.Kumbe ndio hivyo? Ndio maana Magufuli amesema hana appetite ya kula pilau la leo la Christmas?
ICC haina lolote. Kama kesi ya wazi ya mauaji ya watu Kenya kwenye uchaguzi walishindwa kumtia hatiani mtu yeyote, hii ya TZ ambayo ni ya mauaji ya kufikirika ndiyo watamtia mtu hatia. Sisi wenyewe tumetulia na kujiendeshea maisha yetu, anakuja mtu kutulazimisha tukubali kuwa tulipigwa na kuawawa wakati wa uchaguzi. Kesi ingekuwa na nguvu kama ilikuwa na madai ya "election irregularities" na hili siyo kosa, maana hili hutokea kila nchi, maana hata Trump kadai kuibiwa kura!Hii ni tweet alioiandika siku ya jana:
Nothing can remedy the suffering of the Tanzanian people who were injured or killed or arrested during the recent election. I want to thank Utibe Ntekim and our team for their excellent work. We filed today at the ICC!! More to come!!
Nyingine ni hii ikihusiana na hiyo ya hapo juu:
All of our work on Tanzania is dedicated to the incredible heroism of Tundu Lissu!! His is an example for the ages! When Tanzania is free it shall have TL as its rightful leader!
Punguza ukada sasa tupendane vizuri😊😊Asanteee, basi tutakua tunapendana fyddell
Punguza ukada sasa tupendane vizuri😊😊
Ni kweli usemalo na ndiomana, pamoja na utofauti wa itikadi lakini bado nikakupenda na moyoni mwangu umejaa teleUpendo hauchagui chama, dini, kabila, umri wala rangi fyddell😁😁
KUBWA JINGAHii ni tweet alioiandika siku ya jana:
Nothing can remedy the suffering of the Tanzanian people who were injured or killed or arrested during the recent election. I want to thank Utibe Ntekim and our team for their excellent work. We filed today at the ICC!! More to come!!
Nyingine ni hii ikihusiana na hiyo ya hapo juu:
All of our work on Tanzania is dedicated to the incredible heroism of Tundu Lissu!! His is an example for the ages! When Tanzania is free it shall have TL as its rightful leader!
We CDM are morethan interested. We long patiently for that day, when the ballot robbers and killers will stand before a court of Justice to answer for their deeds.The art of politics requires also to learn how to loose graceful kama ilivyokuwa kwa Trump na republicans kumpa ukweli mchungu ata wale aliowateua mwenyewe, sometime we got let things go.
In life we got to be realistic not everything is meant to be, Lissu akubali uchaguzi umeisha kuendelea na hizi jitihada ni kuidhoofisha CDM.
Japo ni kesi ya kufikirika and will never amount to anything the fact remains even if it were pursued hao ACT Wazalendo hawapo interested anymore sasa sijui nani atatoa ushahidi mahakamani.
You can’t be so selfish to destroy the interest of the majority, that’s the canon rule of any politician.
It’s time Lissu akubali ata kutumika kuna limitations hii vita ni yake pekee CDM are no longer interested.
Mtaendelea kuamini akili za wa wapumbavu na malofa, ambao wanataka kuwatumia waingie madarakani. Km baada ya kushindwa vibaya kwenye sanduku la kura wanawajaza hoja ya "mabegi ya kura kwenye vituo vys kupigia kura". LAKINI wakati huu wa TEHEMA wangeyakusanya na kuyaonesha ili dunia yote ione. Ili kuficha aibu ya kushindwa vibaya wakatoroka nchi na waliobaki wanasutana wenyewe kwa wenyewe kugombania nafasi za "ubunge wa viti maalumu". AIBUKuna upuuzi kuzidi ule wa kuingia na mabegi ya kura kwenye vituo vya kupiga kura?
Kuna madai ya msingi yanayohusu kero za maendeleo (maji, barabara, elimu, afya, nk) kwa jamii ya WaTz wengi kuliko hiyo ya wachache kutafuta upenyo wa kuingia madarakaniHizo kesi ni mwanzo mzuri Wa kudai katiba Mpya na tume huru ya uchaguzi.
Bora CCM imeiba kura, kama kuna ushahidi, kuliko viongizi wa upinzani kuhombania RUZUKU na uchu wa madaraka wakatimize mahitaji yao bibafsiUkweli uliopo ni ccm kuiba kura
Angalau miaka 5 amefanya mageuzi ya kiuchumi na maendeleo yaliyo wazi kuliko viongozi wote nchini (Serikalini na makampuni binafsu)Zanzimana Jiwe hata umpe miaka Mia Hana chochote anachoweza kufanya zaidi kuumiza , kuharibu ,kudhuru ,fukuza, tengua, teua , lakini maendeleo ni ziro .
😂😂😂😂🤣🤣🤣
Utasema yote lakini baada ya uchaguzi wa 2020 siasa za Tanzania zitabadilika na uhuru wa watu kumchagua kiongozi wanaempenda utakuja.Kuna madai ya msingi yanayohusu kero za maendeleo (maji, barabara, elimu, afya, nk) kwa jamii ya WaTz wengi kuliko hiyo ya wachache kutafuta upenyo wa kuingia madarakani
Utasema yote lakini baada ya uchaguzi wa 2020 siasa za Tanzania zitabadilika na uhuru wa watu kumchagua kiongozi wanaempenda utakuja.