Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
Hawa jamaa si walisema kanumba alikua na umbo zuri.pambavu!
Riz kacheka kwa kimsamba msamba.
Steve full kujipendekeza
Ray, wala hayupo hapo kiakili anajaribu tu kuwasindikiza
Cheni hajui alitendalo.
Huyo m2 mfupi alikua mtaalamu wa kuzimia ila nashangaa kwenye picha full tabasamu..
ana domo kubwa kama swimming pool
mkuu unahisi walikuwa msibanihapo wanachekele jinsi gani ya kukatoa kale katototo si mchezo bana ...oohh
Afadhali mzee wetu wa kiraracha yeye alifikwa na majonzi ya hali ya juu...
Afadhali mzee wetu wa kiraracha yeye alifikwa na majonzi ya hali ya juu...
Kucheka cheka ovyo ni jadi yao si hata mdingi naye bingwa wa kukenua?