my Mentor Ben R Mtobwa
tuanze na riwaya zake za watoto
kipofu Mwenye miwani myeusi
mpishi Mwenye kibiongo
mwalimu Mwenye mguu wa bandia
HAPA WAHUSIKA NI ABDUL SELEMANI NA KASHENGO MSHANA CHINI YA INSPEKTA MWANDAMIZI SHANI MWANANA.
Riwaya zake za wakubwa
zawadi ya ushindi
pesa zako zinanuka
tutarudi na roho zetu?
roho ya paka
malaika wa shetani
najisikia kuua tena
salamu toka kuzimu
mikononi mwa nunda
najisikia kuua tena
lazima ufe joramu
nyuma ya pazia
mkono wa damu
kifo mkononi
dar Es salaam usiku
humu wahusika wakuu ni joram kiango na nuru pamoja na inspecta kombora
isipokuwa zawadi ya ushindi ndo utakutq amehusika sikamona,MDOE na Lucia,pia dar usiku utamkuta hasara,hasira,rukia na Peterson
nq kwenye pesa zako zinanuka utawakuta kina kandili,bon koro,Dora,na kanda wa kamkanda.
ukisoma moja ya hivi lazima utatafuta cha pili.
nakumbuka miaka ile nilijificha ndani ya shimo la mgomba nikafunika na majani juu,ili tu nikitafutwa nisipatikane.kisa tu nasoma hizi novel.zilinishape sana!
tuanze na riwaya zake za watoto
kipofu Mwenye miwani myeusi
mpishi Mwenye kibiongo
mwalimu Mwenye mguu wa bandia
HAPA WAHUSIKA NI ABDUL SELEMANI NA KASHENGO MSHANA CHINI YA INSPEKTA MWANDAMIZI SHANI MWANANA.
Riwaya zake za wakubwa
zawadi ya ushindi
pesa zako zinanuka
tutarudi na roho zetu?
roho ya paka
malaika wa shetani
najisikia kuua tena
salamu toka kuzimu
mikononi mwa nunda
najisikia kuua tena
lazima ufe joramu
nyuma ya pazia
mkono wa damu
kifo mkononi
dar Es salaam usiku
humu wahusika wakuu ni joram kiango na nuru pamoja na inspecta kombora
isipokuwa zawadi ya ushindi ndo utakutq amehusika sikamona,MDOE na Lucia,pia dar usiku utamkuta hasara,hasira,rukia na Peterson
nq kwenye pesa zako zinanuka utawakuta kina kandili,bon koro,Dora,na kanda wa kamkanda.
ukisoma moja ya hivi lazima utatafuta cha pili.
nakumbuka miaka ile nilijificha ndani ya shimo la mgomba nikafunika na majani juu,ili tu nikitafutwa nisipatikane.kisa tu nasoma hizi novel.zilinishape sana!