Hakufukuzwa ila kitabu chake cha Rosa Mistika ndio kilipigwa marufuku pamoja na vya David Maillu yule Mkenya. Nae alikua na vitabu vingi akiandika kama peoms, he was also good.
William Gamba aliandika kitabu kizur sana cha Almas ya Mwadui
Hakufukuzwa ila kitabu chake cha Rosa Mistika ndio kilipigwa marufuku pamoja na vya David Maillu yule Mkenya. Nae alikua na vitabu vingi akiandika kama peoms, he was also good.
Ben R.MtobwaMtobwa
UnachekeshaMtoa uzi ni mnafiki,
RAISI ANAMPENDA MKE WANGU.
Hiii hadi leo sijaona aliyeipiku
Kabisa mie mwenyewe nimeshanga sana shem mzima weweUnachekesha
Joram Kiango hakuwa mtunzi mkuu. Mtunzi alikuwa Ben R mtobwa na alimtumia JoramDadangu hivi watunzi kama hao wameishia wapi?, Joram Kiango, Musiba, Mohamed Said, Agolo Anduru, Kazerahabi nk?
Nilikuwa na dadayangu marehemu alikuwa ananishawishi hadi nikawa mpenzi sana wa vitab zamani watunzi walikuwa wengi sijui kwa sasa wapo wapi.
Ninebahatika kusoma vitabu vingi kweli vya zamani zikiwemo riwaya za kiswahili. Chakusikitisha sana ni kwamba vitabu vyingi sana vilipotea, au kuharibika wakati wa uhamaji (kutoka mji flan kwenda mji mwingine) wa mzee wangu. Lakini kila nikikaa riwaya nyingi zinanijia lkn sina majina yake, baadhi ya ninazozikumbuka ni
1. Sifi marambili
2. Simu ya kifo
3. Tutarudi na roho zetu?
4. Alfu lela ulela 1-3
5. Mnuko wa damu
6. Kamlete akibisha mlipue
7. Hawala ya fedha (hichi ninacho)
8. Msako wa hayawani
9. Punguwani
10. Mashetani
11. Adili na nduguze
12. Kusadikika
Nyingi nmezisahau wakuu. Ila naomba mwenye connections niko tayari kushare nanyi...
Oh God! Huwezi kuamini vyote nimevisoma hivyo! Dah, huna hata kimojawapo?Nilikuwa na dadayangu marehemu alikuwa ananishawishi hadi nikawa mpenzi sana wa vitab zamani watunzi walikuwa wengi sijui kwa sasa wapo wapi.
1. Najisikia kuuwa tena.
2. Lazima ufe Joram
3. Mikono mwa Nunda
4. Kikomo
5. Kikosi cha kisasi
6. Njama
7. Pesa zako zinanuka
Daaahhh natamani kupata vitabu ninavyovitaka sijui napataje kuna baadhi nilivipta kwa @nemeless girl
NinavyoOh God! Huwezi kuamini vyote nimevisoma hivyo! Dah, huna hata kimojawapo?
Vitabu vya mtunzi Ben Mtobwa naweza kukuagizia mahali pa kuvipata kama upo DarOh God! Huwezi kuamini vyote nimevisoma hivyo! Dah, huna hata kimojawapo?
Check dm plzNatafuta vitabu vya Elvis Musiba, Hammie Rajabu. Katalambula
Mtaa wa Samora kuna bookshop ya vitabu nilikiona hikiNatafuta vitabu vya Elvis Musiba, Hammie Rajabu. Katalambula
Mie wa mkoani mkuuMtaa wa Samora kuna bookshop ya vitabu nilikiona hiki
Niko safi shem wangu naona umenisusaKabisa mie mwenyewe nimeshanga sana shem mzima wewe
Hata Jana nilipita hapo nimeviona lakini kikosi cha kisasi hakikuwepoMie wa mkoani mkuu
Hapana shem kuna shida kwenye simu hope upo poaNiko safi shem wangu naona umenisusa