Bibiane na Jean bado wanafanya matusi wakuu,tuwasubiri wamalize ndo waje
Bibiane na Jean bado wanafanya matusi wakuu,tuwasubiri wamalize ndo waje
akili na matendo bado vinarandana.
mi nadhani bibiane alimnyonga jean kwa ya mapenzi, maana hawezi mmega akiwa amefungwa kamba
Leo ni miezi miwili kamili toka kuanza kwa RIWAYA hii ya UCHU. Na hamna dalili za kwamba mwisho u karibu.
Tunapata mateso ya kujitakia, hatuna budi kusubiri. Natumaini hawa wakuu Willy Gamba 1, kidi kudi, mareche, m2n na wenzao hawatatutesa zaidi kwa kumalizia hii kitu weekend hii.
Wamefanya hadi usingizi wangu uwe wa mang'amung'amu yaani kila baada ya nusu sàa nashtuka naingia jf holaa na lala nashtuka tena naingia holaa dah watu hawa ni wakatili mnooo
Ijumaa inapita hivi hivi?
Naogopa ban