humu ndani bado tuuuu
nimeona comment yako nikatabasam kumbe nawe unaulizia? dah mmetufanya kitu kibaya
Tupunguzie uchu mkuu willy
Huu uzi kipindi flan ulikuwa maarufu sana sijui umaarufu wake umepotelea wapi?
Umepotelea humu humu mkuu sababu ni kupeana kidogo kidogo kama dozi ya chlorophenical...kitu kidogo dozi inachukua muda mreeefu.
Umepotelea humu humu mkuu sababu ni kupeana kidogo kidogo kama dozi ya chlorophenical...kitu kidogo dozi inachukua muda mreeefu.
Wabongo asee mnajua kuvumilia,nlpigwa ban kisa huu uzi nimerudi na bado tu haujaishaga
Wabongo asee mnajua kuvumilia,nlpigwa ban kisa huu uzi nimerudi na bado tu haujaishaga
Huyu kidkud sijui kapatwa na masahibu gani! popote ulipo kama una mkwamo basi mungu akutilie wepesi na mareche pia coz sisi ni binadamu huwezi kujua lililo msibu mwenzio.