Huyu kidkud sijui kapatwa na masahibu gani! popote ulipo kama una mkwamo basi mungu akutilie wepesi na mareche pia coz sisi ni binadamu huwezi kujua lililo msibu mwenzio.
mkuu ulifanya nn? sie bado tupo ila nakubaliana yawezekana hawa kidi kudi, mareche na ndugu yao willy gamba 1 wamemalizwa na Nkubana chini ya majeshi ya Akazu
Huyu kidkud sijui kapatwa na masahibu gani! popote ulipo kama una mkwamo basi mungu akutilie wepesi na mareche pia coz sisi ni binadamu huwezi kujua lililo msibu mwenzio.
Nilipata taarifa kipindi f'ln huyu jamaa kidi kudi hatunae tena duniani nikapuuza...kwa ukimya huu naanza kuamini sasa. Mungu apishe mbali fikra hizi 😀:what:😉