wambura marwa
JF-Expert Member
- Mar 7, 2015
- 2,173
- 1,127
Nitarudi
Duh una miaka mingap sasa iviNgoja nirudie kuisoma hiii riwaya nilisoma zamani sana nikiwa darasa la sita.
Darasa la sita nilikuwa mwaka 1994 piga jesabu sasa. Nimekula chumvi nyingi Ekyoma. Na nkmeanza kupenda riwaya nijiwa mdogo.Duh una miaka mingap sasa ivi
Acha tumalizie kakawatoto wake tupo na Vitabu hivyo ndo vinatufanya tuishi sasa we unapost kwa maana gani?
Bila hivo vitabu mngekuwa mshakufa??????watoto wake tupo na Vitabu hivyo ndo vinatufanya tuishi sasa we unapost kwa maana gani?