the_legend
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 1,612
- 7,112
- Thread starter
- #801
Hahahaa, hadithi zipo nyingi, tena za moto. Tatizo mambo mengi, muda mchache
the Legend☆
Hahahaa, hadithi zipo nyingi, tena za moto. Tatizo mambo mengi, muda mchache
Ha ha ha ha...Hahahaa, karibu tena moneytalk. Nlikua nakuona unavyosonga nayo kimya kimya. Ila ushemeji ulishakufa, nilishaachika masaa machache yaliyopita. Shahidi Tater
the Legend☆
Hicho ndo kinatupoza wenzio...fanya ubarikiwe!Hahahaa, hadithi zipo nyingi, tena za moto. Tatizo mambo mengi, muda mchache
the Legend☆
Pamoja sana mtani

HahaahaShukrani mkuu the_legend, kumbe ukipost hadithi mademu wanajileta wenyewe tu ngoja na mimi nijaribu Tieli ft Shunie
Nacheka mm
Hahaaha yaani ww bwanahapa nshapotea wallah nimishia sehem ya 21 sasa naskia watu mpo ktk 60 huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Amen. Karibu tena mkuuShukrani mkuu,ubarikiwe sana.
always positive