Shaffin Simbamwene
JF-Expert Member
- Nov 16, 2008
- 2,156
- 1,539
Nilikuwa nawakimbiza kimya kimya Vipi Kuna episode nyingine hapa?Hahahahahahahaa
the Legend☆
Nilikuwa nawakimbiza kimya kimya Vipi Kuna episode nyingine hapa?Hahahahahahahaa
the Legend☆
Nilikuwa nawakimbiza kimya kimya Vipi Kuna episode nyingine hapa?
Kweli kimya kimya. Umesoma mpaka nlizoweka leo?
Yes nipo na afande Minja hapa nyumbani kwa Sarah.Kweli kimya kimya. Umesoma mpaka nlizoweka leo?
the Legend☆
Itaendelea kesho asubuhi na mapema, ntaweka episodes nyingine 3Yes nipo na afande Minja hapa nyumbani kwa Sarah.
TawireItaendelea kesho asubuhi na mapema, ntaweka episodes nyingine 3
the Legend☆
Wengi sana...Kumbee!!!
Wataje na wengine maana tunawapa wahaya sifa wasizostahili.
Mmh...Malkia wa Gosheni kumbe mbaya wewe yaani umejichimbia huku tena una makoloni kabisa Afu hatujuzani.
Wengi sana...
Ila wanakula kwa maandishi tu..ndio maana sina presha...
Sent using Jamii Forums mobile app




aliechkua akili zako akurudishie kwa kwelialiechkua akili zako akurudishie kwa kweli
the Legend☆







Kuridhikaje tena
Anamaanisha nini kwaniShangazi yako muelewa, hana shida
the Legend☆
NakaziaUtasaidiwa na shangazi + mjomba
the Legend☆
HahahahDah! huyu mwanamke kiboko..
kawarudika kibao kwenye zizi moja!
Hadithi njoooh...
Sent using Jamii Forums mobile app
KheeeeeMalkia wa Gosheni kumbe mbaya wewe yaani umejichimbia huku tena una makoloni kabisa Afu hatujuzani.
Una uhakika gani wanakula kwa mahandishi etiWengi sana...
Ila wanakula kwa maandishi tu..ndio maana sina presha...
Sent using Jamii Forums mobile app