Riwaya: Mkono Wa Chuma

Riwaya: Mkono Wa Chuma

Do! Hii Riwaya, nimeifumania Leo asubuhi...nimejikuta nimeshinda kwa bed the whole day, nimesoma word to word!!! Nzuri sana...Ila kumbe haijaishaaa....daah
 
😂 😂 😂 😂 😂 😂 mvumilivu hula mbivuuuu 😁 nmekumbuka mpaka nyimbo ya banana zoro "subira yangu ndio iliyoniponza ngojangoja naonekana mjnga kwa sababu niliipenda story kweli😜😜yaan nimekuja mbio nikajua washaweka muendelezo kumbe holaaaaaa😎yaan nimechoka balaa bibie shunnie na madam s mkuje huku mnisadie kutoa arosto hii
 
mvumilivu hula mbivuuuu nmekumbuka mpaka nyimbo ya banana zoro "subira yangu ndio iliyoniponza ngojangoja naonekana mjnga kwa sababu niliipenda story kweliyaan nimekuja mbio nikajua washaweka muendelezo kumbe holaaaaaayaan nimechoka balaa bibie shunnie na madam s mkuje huku mnisadie kutoa arosto hii
Sijui BQ ndio 'kazima' mazima? Na stori ikaisha!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom