Shaffin Simbamwene
JF-Expert Member
- Nov 16, 2008
- 2,156
- 1,539
Huyu Alex Kimeo wa JF ni fekelo wala siyo mwenyewe.Fanya kweli mkuu, the sooner the better...
Riwaya hii ndo basi tena imekatika kama kimba la asubuhi
Huyu Alex Kimeo wa JF ni fekelo wala siyo mwenyewe.Fanya kweli mkuu, the sooner the better...
Huyu Alex Kimeo wa JF ni fekelo wala siyo mwenyewe.
Riwaya hii ndo basi tena imekatika kama kimba la asubuhi
jukwaa limeoza watu wameweka njaa mbele hili limekua jukwaa la matangazo ya hizo riwaya zao sio kuburudika na riwaya km zaman!after miez kadhaa nakuja tena kumbe mambo bila bila
Kabisa mkuu..jukwaa limeoza watu wameweka njaa mbele hili limekua jukwaa la matangazo ya hizo riwaya zao sio kuburudika na riwaya km zaman!
Sijui BQ ndio 'kazima' mazima? Na stori ikaisha!?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
mvumilivu hula mbivuuuu
nmekumbuka mpaka nyimbo ya banana zoro "subira yangu ndio iliyoniponza ngojangoja naonekana mjnga kwa sababu niliipenda story kweli
yaan nimekuja mbio nikajua washaweka muendelezo kumbe holaaaaaa
yaan nimechoka balaa bibie shunnie na madam s mkuje huku mnisadie kutoa arosto hii
Si kuna jamaa anajiita Alex kileo !!Sijui BQ ndio 'kazima' mazima? Na stori ikaisha!?