Mkuu kiukweli mimi nlikuwa sijui ila nikaamua kujaribu nikaona inakubali...nimetumia hikihiki kimchina changu. Pale kwenye options chagua 'copy post URL' then nenda sehemu unayotaka kuweka bonyeza 'paste' af endelea kufanya yako
Mkuu kiukweli mimi nlikuwa sijui ila nikaamua kujaribu nikaona inakubali...nimetumia hikihiki kimchina changu. Pale kwenye options chagua 'copy post URL' then nenda sehemu unayotaka kuweka bonyeza 'paste' af endelea kufanya yako