Riwaya - Gereza la Kifo

Tuvumiliane wakuu mnapoona kimya, sometimes majukumu yanabana sana, ndiyo maana ninapopata nafasi tu namwaga mzigo chap' chap'. Kwa leo mzigo unatosha...
Hakuna shida Bishop tunakuelewa na pia tunashukuru kwa kutukumbuka kila upatapo nafasi
 
Asante bishop kwa tag lakini kuanzia mwanzo wa simulizi nilikua sipati notifications adi nlipoikuta humu kwa bahati tu yani kuanzia jana nmelazimika kuwakimbilia na finaly nimewakuta
Amani iwe nawe mkuu
 
Kaz gani akwende zake huko yani simpendi na asisumbue wenzie asubiri hukumu afungwe stori yake iishe anajua watu tunaumizwa na mangapi af nalo lije kutuletea uzwazwa wake
Najikuta nacheka manake mwandishi kaamua kupiga chenga yale yoote tuliyoyatarajia

Sasa badala ya wariri kuumia sisi ndio tumeumia

Kujitetea halijui halafu hata mbinu linaingilia mambo kichwa kichwa
 
Pole walari
Askofu asante sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…