Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,547
- 10,273
Mdogomdogo tutafika Shukrani nyingi kwako ndugu yangu.
Tunapenda hadithi zinatuliwaza sana tofauti na kizazi cha sasa wengi hupenda wenyewe wakiita ubuyu ni tofauti kubwa sana ndugu nashukuru kwa kujua nina njaa na story hii mdogomdogo pana watu watajaa hapa muda si mrefu niamini nimesoma story nyingi za nje na za nyumbani hadithi yako ina mpangilio mzurihahaaa unamoyo sana mkuu ngoja nikuongeze moja
Pamoja sana ndugu yanguitaendelea jioni
mkuu jitahidi muda huo uweke maana wengine tuko fasta ktk kuread, halafu tayari weekend sasa natumai utashusha mzigo wakutoshaSorry wakuu itaendelea saa 4 nilikuwa bize kidogo afu kifaa nachotumia chaji iliisha