Rivers United vs Young Africans(1-0) | CAFCL

Update mpaka sasa
River Utd 3-0 Mama J fc
Dk ya 76 : na sk53

Dakika za utopolo hizo kupinduliwa kwenye meza
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Huko Nigeria majibu ya covid bado hayajatoka na mchezo unatakiwa uanze baada ya dkk 10
Majibu yametoka. Timu ya yanga wanalalamika na kukataa kuyapokea majibu hayo kwasababu
1) vipimo vimefanyika tokea jana lakini majibu wanaletea dakika kadhaa kabla mechi kuanza
2) wamehitaji certificate ya majibu ili kuthibitisha lakini wameambiwa certificate za majibu hakuna.
3) Diarra kaambiwa ana corona wakati huyo huyo Diarra amepokea majibu yake kwanjia ya mtandao na kuonekana yupo negative.
4) kuna wachezaji wanatakiwa kufanyia test tena muda huu lakini maabala haipo hapo uwanjani.
 
Wapo bize na Simba
LIKUD
IMG-20210919-WA0063.jpg
 
Back
Top Bottom