Utopologist
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 987
- 2,487
Huko Nigeria majibu ya covid bado hayajatoka na mchezo unatakiwa uanze baada ya dkk 10 🤣🤣
Hahaaaaaaa acha nicheke mm wanasusa km malaya wa kimboka.Yanga wasusia mechi huko. Diara, Yakuba, Feisal na Mukoko wanakorona huko, wanatakiwa waende karantini hadi wiki ijayo.
Haji Manara anasema HATUCHEZI.
Ww ulipata nn kushangilia kuwapokea wapinzani wa simbaUnapata faida gani kwa hiki ulichokiandika?
Tusipo jaza uwanja utapata hasara gani?Unapata faida gani kwa hiki ulichokiandika?
Majibu yametoka. Timu ya yanga wanalalamika na kukataa kuyapokea majibu hayo kwasababuHuko Nigeria majibu ya covid bado hayajatoka na mchezo unatakiwa uanze baada ya dkk 10
Nimeandika wapi kuhusu kujaza au kutojaza uwanja?Tusipo jaza uwanja utapata hasara gani?
Mmejaa Corona huko timu nzima,na mtakaa karantin siku 14.Naitakia ushindi timu yangu ya Yanga. Ingawa natambua fika uwezekano wa kupindua meza ni mdogo kweli kweli.
Wasiingie wafungiwe maishaSawa naona Yanga wamegoma kupokea majibu ya covid ngoja tuone km wataingia uwanjani
Si ulitaka kujua kinachoendelea lakiniNimeandika wapi kuhusu kujaza au kutojaza uwanja?
Ila kumwonesha mpoki ndo kukuza brand ya tv stationKuonyesha huo utopolo ni kushusha hadhi ya tv station
Kikosi hiki hapa tayari. Hamna cha corola wala coronaMmejaa Corona huko timu nzima,na mtakaa karantin siku 14.