Mamamia asante kwa hoja hii,lakini kama ungeamua aidha kuandika kwa kiswahili au kingereza ingependeza sana.lakini kwa mtindo huu wa kingereza/ kiswahili kwangu binafsi naona kuna dosari kidogo.Haya ni mawazo binafsi tafadhali.
dah!
e huyu bibie yupo tuu
Ritah ni business woman na swala nani anatoka naye ni none of her own business....
Did you mean it's none of any one else's business?
duh nimeandika alafu sikujua naandika nini kwa haraka nisishinkwe na kibosile...yeah that thank you mr kifimbo chenza
doesnt matter she can get it
lakini hii changanya yake sijui ya wapi maana hafanani na watu wa mwambao..
GT...theory ni hii katika mambo ya kujichanganya....ukiwa business man basi posibility ni kubw aya kutoka na business woman...ni kama vile politician wachukuana wenyewe kwa wenyewe.....musician/movies star...sasa kama ww ni Anti Fisadi then inabidi utoke na anti fisadi mwenzio maana hakuna common denominator kama business man/woman aje aji-mix na politician....umeshanielewa.....
besides madame Ritah huyo ninamba nyingine aisee yupo kwenye different level...ila unaweza ukawa unamuota hivyohivyo kwa kumuangalia kwa michuzi....