Risiti za EFD zitaleta tatizo huko mbeleni

ISP wao ni nani mkuu. Make shida ya nchi yetu mambo mengi huwa tunafanya kwa zima moto na kutanguliza 10%. Mkuu mimi naona tatizo ulilolisema haliko kwenye mashine ila karatasi. Yawezekana wakapata supplier wa karatasi wa hovyo anaye supply karatasi za kutolea risit zisizo na viwango. Na hawa jamaa huwa wana deal na supplier wahindi. Ushauri wangu ni wafanyabiashara ambao tayari mnatumia machine hizi na wote mna experience matatizo kama uliyoyasema, bora muungane ili mpeleke malalamiko yenu TRA mapema ili kuepusha usumbufu wa siku moja kulazimishwa kulipa zaidi.
Internet service provider ambao ndio Hizo machine zinatumia network yao.
 
Kanyera nafikiri unachotakiwa kama wewe ume kitu kwa sh 120,000 halafu unauza sh 150,000 faida yako inatakiwa kuwa sh 30,000, kwenye sh 150,000 ndio unatakiwa uongeza asilimia 18, unamtwanga nayo mlaji wa mwisho.
Tax return kwenye nchi nyingine ukinunua vitu siku ya kuondoka kama mgeni airport kuna dirisha uwa wanarudisha maana exporting uwa ailipishwi kodi, kwa hapa wageni wanatwangwa tu wakati saa nyingi hivyo vitu wanaenda kuviuza kwao, vat uwa inalipwa kwa mlaji wa mwisho.
 
Kwani Anayebaki Na Risiti Ni Mteja Au Muuzaji? Unapofanya Transaction Kutumia Efd Hesabu Zinajirekodi Tra. Kingine Ni Kuwa Tra Hufanya Makadirio Na Wewe Unaanza Kulipa Instantly Kwa Awamu, Hivyo Mahesabu Yako Mwisho Wa Mwaka Yanakuja Kuoanishwa Na Makadirio.[/Q
Mkuu unaonekana hujaelewa swala la kukosea. Mtu akikosea recording inakuwa tayar na hivyo kuleta utata kwa mtu aliye uza 10,000 badala ya 100,000. Means mwisho wa mwaka TRA wanakuja ku calculate 100,000 badala ya 10,000. Inamaanasha kwa kutumia EFD hakuna human error
 
ISP wao ni nani mkuu. Make shida ya nchi yetu mambo mengi huwa tunafanya kwa zima moto na kutanguliza 10%. Mkuu mimi naona tatizo ulilolisema haliko kwenye mashine ila karatasi. Yawezekana wakapata supplier wa karatasi wa hovyo anaye supply karatasi za kutolea risit zisizo na viwango. Na hawa jamaa huwa wana deal na supplier wahindi. Ushauri wangu ni wafanyabiashara ambao tayari mnatumia machine hizi na wote mna experience matatizo kama uliyoyasema, bora muungane ili mpeleke malalamiko yenu TRA mapema ili kuepusha usumbufu wa siku moja kulazimishwa kulipa zaidi.

Q
Mkuu unaonekana hujaelewa swala la kukosea. Mtu akikosea recording inakuwa tayar na hivyo kuleta utata kwa mtu aliye uza 10,000 badala ya 100,000. Means mwisho wa mwaka TRA wanakuja ku calculate 100,000 badala ya 10,000. Inamaanasha kwa kutumia EFD hakuna human error
 
Nadhani wafanyabiashara aidha kwa kutumia wawakilishi wenu au nyie wenye mkaungana ili TRA wawape elimu katika maswala kama haya. Pia huwa kuna kitu kinaitwa tax return sina uhakika sheria za kodi Tanzania zinasemaje kuhusu tax return. Kwa sababu kulingana na hoja yako unatoa risiti hizo za EFD mwisho wa siku TRA lazima wafanye calculation kujua kama uliuza kwa faida ili ulipe kodi. Sina hukakika ni kiasi gani cha faida ambacho unapaswa uwe umefikia ili uweze kulipa kodi yao. Vitu kama hivyo huwa vipo, ila TRA mara nyingine wanatumia uelewa mdogo wa wafanyabiashara kuwatoza kodi hata kama kiliwalichotengeneza kwa kipindi hicho hakipaswi kulipiwa kodi. Mfano kwenye mishahara kuna kiwango ambacho kimesamehewa kodi. Hivyo hivyo kwenye biashara kuna kiwango cha faida utakachopata hakipaswi kulipiwa kodi. Jaribu kufuatilia upate elimu hii Mkuu. Make unaweza kusema ukwepe kwa hali ilivyo sasa wakaja kubeba kamtaji kako kote.

Asante sana sana mkuu
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom