kluger
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 2,093
- 1,894
Wasalaam wakuu,
Hii nchi tuwe serious kidogo, nashindwa kuelewa kwa nini tunapenda kuishi kwa mazoea?
Yaani watu wamepambana tuwe na Mashine za EFD, nia hasa tulipe kodi na kudai risiti.
Cha ajabu hakuna anayeona umuhimu wa hiyo risiti! Hii ni rekodi ambayo ni kidhobitisho cha umiliki wa mali mbali mbali.
Wenzetu ulaya wana risiti kama hizi na hazifutiki.
Sasa sisi ukitaka kutunza risiti, utoe kopi, hivi Kweli jambo kama hili hakuna mtu anaona umuhimu wa kurekebisha hii kasoro.
Nawakilisha.!!!!
Hii nchi tuwe serious kidogo, nashindwa kuelewa kwa nini tunapenda kuishi kwa mazoea?
Yaani watu wamepambana tuwe na Mashine za EFD, nia hasa tulipe kodi na kudai risiti.
Cha ajabu hakuna anayeona umuhimu wa hiyo risiti! Hii ni rekodi ambayo ni kidhobitisho cha umiliki wa mali mbali mbali.
Wenzetu ulaya wana risiti kama hizi na hazifutiki.
Sasa sisi ukitaka kutunza risiti, utoe kopi, hivi Kweli jambo kama hili hakuna mtu anaona umuhimu wa kurekebisha hii kasoro.
Nawakilisha.!!!!