Tupa kule....
Huyu jamaa ni kichwa sana nilisoma nae ilboru akapata point 3
Huyu jamaa ni kichwa sana nilikaa nae rose garden anaongea point huyoooo
huyu jamaa kweli anafaa ni kichwa kweli kweli angalia CV yake
Huyu jamaa ni kichwa sana hata wazungu wanamuheshimu sana aliwakimbiza ile mbaya class masters harvard
Huyu jamaa ana akili sana aisee nakumbuka alinisaidia kupata mkopo wa mil 20 sikuwa na collateral sema nilimahakikishia biashara zangu zitalipa.
Huyu jamaa wee acha tu Mungu amsaidie
Huyu jamaa ana alipata first class udsm huyu jamaa ana akili sana kwao wana nature ya kuwa majinias uuuh
.... Baaaadae saaaana....
Huyu jamaa ana akili sana sema watendaji wake wanamuangusha
Huyu jamaa ni mchapakazi sema bana fitina za pale
Huyu jamaa ana akili sana sema tatizo dini yake
Huyu anachapa kazi tatizo wanasiasa wanamuingilia kazi zake...
Mi nilikuwa najua ni Msomali, by the way Msomali hawezi kujifanya Muiraq? Manake hilo jina tu kama la KisomaliMkuu huyu jamaa ni Muiraq wa Mbulu
Mi nilikuwa najua ni Msomali, by the way Msomali hawezi kujifanya Muiraq? Manake hilo jina tu kama la Kisomali
Wametumia short cut......Kutafuna pesa kulekule inakokusanywa na sio kusubiri hadi ije BoT
Rished hana udugu na idrisa rashid co kweli
Kuna tetesi kwamba Rashid ni mjomba wake na ndiye aliyempa pande na kumuinua kule BOT lakini pia ni ukweli kwamba alikuwa na sifa. Hivyo akatumia hizo sifa kumuinua tofauti na wengine ambao huinua ndugu wasio na sifa.
Propaganda tuu rished na idrisa rashid hawana udugu wowote..
Mkuu taratibu. Uliza watu wa BOT hasa wale ambao walikuwa na Bade kwenye idara ya Bank Supervision
Mr. Rished Bade
Rished started his career in banking in 1995 with Bank of Tanzania as Bank Examiner where he worked for five years. He then joined Akiba Commercial Bank (ACB) in June 2000 as a Credit Manager. A year later, he joined the Barclays Bank as Director of Finance at Barclays Bank Tanzania, a position he held for five years before moving to Barclays Bank Uganda. At Barclays Bank Uganda, Rished was the Chief Operating Officer for 2 years before he was appointed Country Managing Director for Barclays Bank Tanzania in January 2007. In December 2009 he was appointed Group Chief Finance Officer for Barclays East and West Africa Cluster stationed in Nairobi Kenya, the position he held until he joined Tanzania Mortgage Refinance Company in November 2010
wewe una jinsia gani?? kama ni mwanaume acha kumsifia mwanaume mwenzio hivyo.sisi mila na desturi si busara kumsifia mtu bila sababu za msingi.
nisingependa kuponda huu uteuzi kwa sababu huyu mtu hafahamiki kwa wengi na tatujui utenda ji wake ila kuna machache naomba tuwekane sawa
kwanza si kweli kwamba kila mtu aliyesoma ILBORU -UDSM au kupata point VII au point III-alafu firstclass degree ni kipanga au (genius) siyo siyo... kwa wale tuliofika Chuo Kikuu miaka ya nyuma kidogo mtanielewa namaanisha nini
mtu aliyepata firestclass katika fani za masomo ya biashara ni wa kawaida sana. kuna first class za fani nyingine ni balaa zaidi ya hiyo..... kama aliipata kwa miaka mitatu kwa wengine miezi sita wanaweza kuipata
tumjadili mteuliwa kwa mafankio yake siyo bla-blah ...ohh mara baclays.... ohoo BOT mara heee... motgage finance....kuzunguka zunguka katika maofisi hakuwezi kutushawishi watu makini
sasa je?? taaluma yake ya banking na CV iliyorembwa italeta ufanisi TRA ??? katika changamoto tulizo nazo kama nchi??.
watu wengi waliosoma finance/banking wana tatizo la uoga katika maamuzi wana tabia ya kukariri, na wengi si watu wa mikakati, ni watu wa routine jobs, TRA inahitaji mtu wa mikakati strstegist, nafikiri Economist au hata mtu wa engineering mwenye weledi katika fani ya Taxation anafaa zaidi
mimi binafsi sioni kitu hapa mpaka tuone utendaji wake
kumbe ni "banker" tu!, hivi huko TRA hakuna ma-gulu wa mapato mpaka achukuliwe CEO wa ki-NGO cha kimagumashi kuongoza chombo cha kitaifa?!.
watanzania vijana wenzangu acheni unafiki na kujikomba, huyu bwana hana track record na ndio maana ataishie hizo kazi za kupewa na JK mtu wa kiwango na ujinga wake, hebu JK atuambie amefanya nini huyu bwana, Barcklays kuna asiyejua kwamba alishindwa kazi? trade expansion project imekufa chali hana lolote akatolewa kwenda Nairobi kwenye desk kuepuka makosa waliyofanya akakimbizwa kimbelembele mortgage finance against fine bankers kama wakina Charles Singili, ndio JK huyo Udini na ushenzi umemjaa mchezo kwenye vitu vya maana na maisha ya wtanzania na sisi tumerukia kulamba lamaba tu eti amefanya nini hapo mortgate finance amefanya nini hebu kaangalieni kama hamtakuta ulaji wa kishenzi wa hela za mkopo za kuja kulipiwa na wajukuu wetu, leto eti TRA mtoto mtogo hana track record upumbavu wetu wanatakiwa watu wa TRA wasomi tupinge huu ushenzi ushenzi wa Rais hii siyo mali yake, Bade huna uwezo hata watu wa institution ndogo kama Barclays wanajua umbumbumbu wako Kihara anahangaika na lidudu uliloloharibu unakimbie, hana uwezo angekua na uwezo si angeshaitwa kitaifa, wakina Kaberuka tunajidangaya watanzania kwa kupendeleana na kunyimana ukweli, eti majuzi tunaambiwa na Rais migiro kafanya makubwa yetu? wote tunajua kuwa UN kaboa kazi imemshinda makubwa kuliko nani, Kulima mama Mary Jane Kamm? Kuliko Sabeta Mwambenja? kuliko Stelga Tax? danganyeni hivyo hivyo nchi inarudi nyuma, kuliko Hilda Ngole? we can not wait for 2015 let us get rid of these substandard, religious, craps, hata mpambe vipi zero tu hamuwezi kutuendesha hivi rais wa kwanza kufikishwa Haigue
hicho cheo kilikuwepo,kilikuwa kinashikiliwa na placidius luoga ambaye jk alimuondoa baada ya kasha ya tango transportHiyo Position ya Naibu Kamishna ilikuwepo mwenyewe amestaafu au haikuwepo kabisa?
watanzania vijana wenzangu acheni unafiki na kujikomba, huyu bwana hana track record na ndio maana ataishie hizo kazi za kupewa na JK mtu wa kiwango na ujinga wake, hebu JK atuambie amefanya nini huyu bwana, Barcklays kuna asiyejua kwamba alishindwa kazi? trade expansion project imekufa chali hana lolote akatolewa kwenda Nairobi kwenye desk kuepuka makosa waliyofanya akakimbizwa kimbelembele mortgage finance against fine bankers kama wakina Charles Singili, ndio JK huyo Udini na ushenzi umemjaa mchezo kwenye vitu vya maana na maisha ya wtanzania na sisi tumerukia kulamba lamaba tu eti amefanya nini hapo mortgate finance amefanya nini hebu kaangalieni kama hamtakuta ulaji wa kishenzi wa hela za mkopo za kuja kulipiwa na wajukuu wetu, leto eti TRA mtoto mtogo hana track record upumbavu wetu wanatakiwa watu wa TRA wasomi tupinge huu ushenzi ushenzi wa Rais hii siyo mali yake, Bade huna uwezo hata watu wa institution ndogo kama Barclays wanajua umbumbumbu wako Kihara anahangaika na lidudu uliloloharibu unakimbie, hana uwezo angekua na uwezo si angeshaitwa kitaifa, wakina Kaberuka tunajidangaya watanzania kwa kupendeleana na kunyimana ukweli, eti majuzi tunaambiwa na Rais migiro kafanya makubwa yetu? wote tunajua kuwa UN kaboa kazi imemshinda makubwa kuliko nani, Kulima mama Mary Jane Kamm? Kuliko Sabeta Mwambenja? kuliko Stelga Tax? danganyeni hivyo hivyo nchi inarudi nyuma, kuliko Hilda Ngole? we can not wait for 2015 let us get rid of these substandard, religious, craps, hata mpambe vipi zero tu hamuwezi kutuendesha hivi rais wa kwanza kufikishwa Haigue
Akina Walid Juma vipi hadi achukuliwe Rished?
Rished ni kichwa kwa kweli namkumbuka alikuwepo UDSM miaka ileee ya katikati ya 1990. Akawa BOT kisha nadhani akaenda Backlays sijui Uganda ama Kenya. Akarudishwa kuwa CEO wa Backlays Tanzania; akaingia na mpango wake wa expansion akapeleka matawi hadi Mbagala na maeneo lukuki matawi yakawa kama viosk vya kuuzia fedha akiwa ana target wateja wadogo wadogo!! Akakumbana na vijana wa mujini wanaoishi kimujini mujini wakampiga nusura bank ifilisike! Akaamua kurudi BOT na kuwa mkuu wa hiyo kampuni ya mortgage Finance ambayo ni kampuni tanzu ya BOT.
Kila la Kheri huko TRA
lengo ni kumpatia u commisioner general baada ya kitilya.ameona angempa dr dau nssf atabaki nani.huyu jk anataka awaweke watu wa dini yake tu.hebu bisha we jk.