HABARI TOKA MTAA WA MSIMBAZI JIJINI DAR SASA HIVI ZINASEMA KUNA MAPAMBANO MAKALI KATI YA POLISI NA WATU WANAOSADIKIWA KUWA NI MAJAMBAZI.
wadau mliopo karibu na maeneo hayo tunaomba ripoti.
Polisi wakiamua kufanya kazi ya ukweli na ya kuaminika wanaifanya bila shida...
Ishu kama hiyo imo ndani kabisa ya uwezo wao..... Tunawaaminia na kuwasupport.
Taarifa kuja into pieces usiogope bwana NEXT LEVEL... kAMA ulivyosoma hapo, Kova atatupa full scandal badae.....Tulia
HABARI TOKA MTAA WA MSIMBAZI JIJINI DAR SASA HIVI ZINASEMA KUNA MAPAMBANO MAKALI KATI YA POLISI NA WATU WANAOSADIKIWA KUWA NI MAJAMBAZI.
wadau mliopo karibu na maeneo hayo tunaomba ripoti.
Wamesema kova atatoa taarifa baadaye leo mchana
Raia mwema mmoja aliyeiacha chai yake kwenda kuangalia risasi ameambulia hali ya u nusu mauti baada ya kuchabangwa risasi ya mbavuni.
Amekimbizwa muhimbili ili kujaribu kuiunganisha roho yake na mwili, maana inaweeza kukatika kutoka mwilini muda wowote maana alikuwa ana breed sana.