Inajulikana wazi kuwa Kova ana usongo na majambazi na aliahidi mwanzoni kuwa ama zao ama zake na ndio tunaona juhudi zake kuwa,kila wanapokutana face to face watamkamata japo mmoja.
jamani hawa majambazi mbona hawaishi, sijui ni nani wa kulaumiwa na hili wimbi la majambazi
hivi kwanini kunawaga na vitendo vya ujambazi mwingi mwaka mmoja kabla ya uchaguzi???
hivi kwanini kunawaga na vitendo vya ujambazi mwingi mwaka mmoja kabla ya uchaguzi???
Habari kama hizi sio za kucomment kwani kila siku polisi wanaua watu kwa kisingizio cha ujambazi, inabidi tupate infor. za kutosha kwanza.
Statistics would suggest that God just likes to watch... haingilii..lol
Hawaishi kwa sababu gani? Kila kukicha watanzania wengi zaidi wanatumbukia kwenye umaskini wa kutupwa. Pesa ambazo zingeboresha maisha yao zinaishia mikononi mwa watu wachache (mafisadi). Pengo la walionacho na wasionacho linazidi kuongezeka. Na wimbi la ujambazi halitamalizwa kwa polisi kupambana nao bali kwa usimamizi na mgawanyo mzuri wa raslimali za taifa.