S V Surovikin
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 13,620
- 32,729
Team Burundi tujuane hapa
Kivipi iyo JW vs RdfMuda utaongea ila kagame naona kashaona maji ni mengi kuzidi unga alionao..Mr slim baada ya kujaza silaha na kuzifanyia upelelezi vya kutosha Tanzania,Uganda,DRC,Burundi akajiamini sana kiasi cha kuitukana Tanzania akiamini kuna mstari haitavuka kule drc,ila majibu aliopata ni tofauti kabisa na uhalisia vita ile ilipiganwa na JWTZ vs RDF wakiwa na sare halisi za rwanda.Kikwete alitaka kumuonesha uhalisia japo iliwekwa siri
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba Burundi anaweza kumhost Nyamwasa bila ruhusa ya Tanzania???habari njema saana hii kwangu kwa leo baada ya kupoteza game la gabon
hao waasi wakiteka ata mkoa mmoja wa slim basi maadui wote wa slim ndani ya jeshi na nchi yake wataonesha sura zao halisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ripoti inasema Uganda pia inashirikiana na Burundi yawezekana kuna watusi kibao tu wanamsaliti KagameKayumba?ana support ya Watusi wenzake?
Kwa watusi Kagame ni demi-God wao na ana full support kutoka kwao.
Kayumba anasapotiwa na nani?Wahutu au Burundi au mtasema sijui France/South Africa?Consipiracy stories.
sio tanzania wala burundi mwenye uwezo wa kumsapoti kayumba kidogo south anaweza(gharama za silaha sio mchezo)Kwamba Burundi anaweza kumhost Nyamwasa bila ruhusa ya Tanzania???
Yawezekana Tanzania na Uganda wakawa na mpango wa kumng'oa Kagame??
Bila Shaka ulikuwa kwenye uwanja vita??UMENIKUMBUSHA MBALI SANA ILIKUWA HATARE
Unadhani majuzi hapa bunge la Rwanda lilipopitisha sheria ya kuruhusu raia kumiliki Silaha walikua na wanalenga nani amiliki silaha boss?hofu kubwa wanaweza kupigana kwa ukabila na kama itatokea hivyo jamii ya slim ndio watakaokuwa wahanga wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Watusi wanaopingana na Kagame ni wale waliozinguana nae huko Jeshini/serikalini lkn majority waliopo huko Rwanda+walioko dunia nzima wao wanamuona PK yuko sawa tu.Kama ripoti inasema Uganda pia inashirikiana na Burundi yawezekana kuna watusi kibao tu wanamsaliti Kagame
najua lengo ilikuwa ni pua ndefuUnadhani majuzi hapa bunge la Rwanda lilipopitisha sheria ya kuruhusu raia kumiliki Silaha walikua na wanalenga nani amiliki silaha boss?
Hii report ya UN nzuri saaaaaaaana inampa slim kila sababu ya kuingia kazini.
Mbwa akibweka tu,anaambiwa hata report inaonyesha nchi yako imebeba waasi wanaotaka kumzingua Slim.
Muda utaongea ila kagame naona kashaona maji ni mengi kuzidi unga alionao..Mr slim baada ya kujaza silaha na kuzifanyia upelelezi vya kutosha Tanzania,Uganda,DRC,Burundi akajiamini sana kiasi cha kuitukana Tanzania akiamini kuna mstari haitavuka kule drc,ila majibu aliopata ni tofauti kabisa na uhalisia vita ile ilipiganwa na JWTZ vs RDF wakiwa na sare halisi za rwanda.Kikwete alitaka kumuonesha uhalisia japo iliwekwa siri
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili kichwani hakuna kitu kinatokea bahati mbaya.najua lengo ilikuwa ni pua ndefu
lkn palipo na machafuko kila mtu anaweza kupata silaha kwa urahisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah so hauamini mkuu?Hamna kitu hapo hawa ni dugu moja.
PK na Nyamwasa ni chanda na pete.
Hahah kisangani ilikua ni noma sana,PK+James Kabarebe+ Nyamwasa walikua na combo poa sanaHawa watu wawili wananikumbusha sana ile "The Battle of Kisangani", hatari sana.
Nyamwasa alikuwa ni CoF na PK akiwa Gen na ile 221 Brigade yao.
kipindi slim anaanzisha harakati hutu ndio walikuwa wanamiliki kila kitu lkn walipoteza game kwaiyo sidhan kama mtu kumiliki bastola yenye risasi saba itakuwa tishio (hasa kama wakichapana kikabila)Akili kichwani hakuna kitu kinatokea bahati mbaya.
duh lkn mbona huwa wanamuwinda kayumba sasaHamna kitu hapo hawa ni dugu moja.
PK na Nyamwasa ni chanda na pete.
Umeambiwa wamepewa bastola zenye risasi 7?kipindi slim anaanzisha harakati hutu ndio walikuwa wanamiliki kila kitu lkn walipoteza game kwaiyo sidhan kama mtu kumiliki bastola yenye risasi saba itakuwa tishio (hasa kama wakichapana kikabila)
Sent using Jamii Forums mobile app
nakujibu kwa mafikirio uspanicUmeambiwa wamepewa bastola zenye risasi 7?
Fanya utafiti.
Sasa nimepanick wapi hapo?nakujibu kwa mafikirio uspanic
silaha ya ambayo raia wanaruhusiwa ni zip?
kwaiyo wamepewa vifaru?
ni kila mtu(tuc) kapewa au ni wenye uwezo tu?
Sent using Jamii Forums mobile app