mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Boss hujui unachokisema,hizo ni assumption zako lkn hivyo vigezo ulivyovisema hawafuati hata kimoja hapo.achana na buk-23 yangu bhana
hiyo sheria ya kuwapa raia nchi nyingi ipo ata tz ila kwa mr slim imewekwa hivi karibuni kwa sababu wanaofia machafuko tena
na ili upewe hyo lzm uwe na pesa na akili timamu(kumbuka hawa jamaa hawaundi hizo silaha wao so lzm uilipie)
kwaiyo ata hu2 akitaka na akiwa na vigezo watapewa(japo kwa kuzungushwa saana na masharti mengi)
Sent using Jamii Forums mobile app
Vigezo&masharti wanavijua PK+RDF+other security organs zao.