athuman kezzo
Member
- Jul 11, 2015
- 35
- 9
kujishushia hadhi kwa taasisi inayoheshimika kama twaweza ili kuiridhisha serikali iliyopo ni jambo la hayari kwa utafiti..aibu..aibu
Data za wananchi 1000 ambao wako randomly picked, what's the probability kwamba waliochaguliwa 90% ni wanaCCM???
Wakuu,
Twaweza kupitia utafiti wao wa Sauti Za Wananchi wanazindua utafiti kuelekea Uchaguzi mkuu leo hii, saa nne kamili asbuhi hadi saa sita katika ukumbi wa Makumbusho.
Ripoti hiyo ya #SautiZaWananchi inahusisha vyama vyote vitakavyoshiriki #Uchaguzi2015 katika kugombea kiti cha uraisi.JamiiForums kushirikiana na Twaweza inawaletea LIVE updates ya uzinduzi wa ripoti na tafiti za ripoti hiyo.
Wasalaam!
View attachment 289727
Mkurugenzi wa TWAWEZA
Uzinduzi umeanza rasmi saa 4:10 Asubuhi.
=========
2012 Udiwani asilimia 60 wangepigia CCM
2015 kwenye udiwani asilimia 60 CHADEMA 24% CUF 2% ACT 1% UKAWA 3%
Mwaka 2014 Kwenye ubunge 47% 23% 4%
Mwaka 2015 kwenye ubunge asilimia 60 wangepigia CCM, CHADEMA 26%
Kwenye urais mwaka 2014 wangeipigia kura CCM asilimia 51 na CHADEMA asilimia 23
2015 kwenye urais 66% wangepigia kura CCM, 22% CHADEMA, UKAWA 3%
Kama uchaguzi ungefanyika leo asilimia 65% walisema Magufuli, 25% walisema Lowassa.
Magufuli anapendwa zaidi vijijini na Lowassa mijini, japo kote Magufuli anaongoza. Kadri watu wanavyokuwa wazee wanamchagua Magufuli na Lowassa kwa vijana zaidi.
Zaidi ya asilimia 60 ya wasiosoma wako kwa Magufuli, nusu ya wasomi wako kwa Magufuli.
Kwanini utampigia kura mgombea wako? Kwa Magufuli ni kwa sababu ni mchapakazi, karibu wote na kwa Lowassa asilimia kubwa sababu anaweza kuleta mabadiliko.
Matokeo haya hayaaminiki na kukubali na mtu yeyote including wanaccm wenyewe kwani hayaelezi uhalisia lengo likiwa ni kupotosha umma kutokubalika kwa lowasa. Hii itasababisha watu ukipiga kwa za Hasira kwa lowasa na kuendelea kufanya safari yake ya ikulu kuwa rahisi. Kura ndizo zinazoamua mshindi so Tafiti zisizo na credibility.
adm usiondoe wala kuunganisha Uzi huu plse.!!
Uongo. Hakuna asiyemfahamu lowassa
Magufuli anaongoza kwa asilimia 66
mkuu maria pale kaongea kuwa naye ni mmoja wa walioshiriki huo utafiti na sio mgeni mwalikwa. Labda ndio maana yule dokta kaona ujinga hakujaMkuu inabidi kwanza ujue role yake ni ipi. mimi nimeona kwenye bango kuwa ameitwa kama mgeni mwalikwa, sasa sijui kama alishiriki kwenye utafiti au ameingizwa chaka kwa kutumiwa kuung'arisha utafiti!
na wameenda kuhoji Dodoma ,Tanga na Morogoro
Twaweza: Kama uchaguzi ungefanyika leo, Magufuli angechaguliwa kwa asilimia 65 na Lowasa asilimia 25
Tuache kuhangaika na upuuzi huu! Haiwezekani LOWASSA awe mbali kiasi hicho, Hawa Twaweza hatutawaamini tena! Ni wachumia tumbo wakubwa hawana hata haya. Waangalie tafiti walizomfanyia LOWASSA wakati yuko CCM! Alishinda kila utafiti! Mpaka hata CHADEMA wakanunua kampuni imfanyie utafiti LOWASSA wakati yuko CCM lakini akapigwa na butwaa na ushindi wake na ndio Dr Slaa akashauri ahamie Chadema baada ya kukatwa CCM.hivi kumbe waliwagawia simu na chaja wanaoulizwa maswali tangu 2012??
au nimesikia vibaya!!! msaada plz......