sawa lakini mtaisoma namba, hapo ndipo mtakapo jua ccm ina nguvu
Tulia ukweli unaumaWewe Hauna Macho? Unataka nani akwambie? Fanya Tafiti mwenyewe utajua ukweli wa Swali Lako.
Wewe Hauna Macho? Unataka nani akwambie? Fanya Tafiti mwenyewe utajua ukweli wa Swali Lako.
Uko kwenye ndoto za mchana....Rais ni lowasa...
Wanajisumbua bure tu, ukweli wanaujua kuwa Magufuli ndiye Rais wa awamu ya tano