Mkapa katukana sembuse wewe,bensouda lazma awepo maana wana lumumba wana wa kubusti kwa malori na wasanii hawana mvuto,wanaegemea zaidi kwenye bao la mkono,mwaka u lazima mtage
Tatizo 25% mnakelele kweli,wakati sie 65% hatuna mbwembwe,mtaisoma namba tarehe 25/10
Wewe ni nani??! Umezoea kudanganya watu na wanaokusikiliza uongo wako ni wale ambao wana akili za kitoto!!Kila kitu unajifanya unajua fyuuuuuuuuu kuna wakati mnaudhi sana badala ya kujikita kwenye hoja mnaanzisha hoja za kijinga ili kupotosha maana !!!!! Sijui mtakuwa lini na kuachana na huuu utoto!!!Matokeo tunayo, kama wanataka waheshimike watoe taarifa sahihi
>-Forum->-General Forums->-Jukwaa la Siasa
Topic:-Lowassa amgaragaza Magufuli matokeo ya tafiti ya TWAWEZA. CCM yahaha kupindua ukweli
Mungi-07:32 Today-
Wakuu,
Mabadilikoooooooooooooooooo!!!
Hivi karibuni taasisi ya twaweza ilifanya tafiti zinazohusiana na kampeni zinazoendelea hapa nchini ili kujua vyama na wagombea wao wanakubalika kwa kiasi gani kwa wapiga kura.
Taarifa kutoka kwa nzi wetu aliyepo kitengo cha tafiti ya twaweza ametumegea info kuwa Lowassa ni noma... Amemgaragaza Magufuli kwa mbali mno baada ya kupata zaidi ya 71.4% ya watu waliohojiwa, huku magufuli akiwa na 20.7%, kura zilizobaki vyama vingine pamoja na wasioamua wanakamilisha asilimia zilizobaki.
Baada ya ccm kuona hali imekuwa tetr wamewaangukia twaweza kuja na tafiti feki ya uwongo, kwa kutumia matukio ya zamani kabla hata magufuli hajawa mgombea au kutoa uwongo wa namna yoyote kuifanya ionekane ccm wanaongoza kwa angalau 68% na Lowassa 22%..... Taarifa hizo za kipuuzi zinatarajiwa kutolewa muda wowote kuanzia sasa...
Inasemekana akina Maria Sarungi walishawekwa sawa baada ya kupata sehemu ya mgawo wa zile fedha 150bilioni za kutengeneza movie...
Muda wowote watakuja na utafiti waobfeki tuwasubirie, baada ya hapo kila kitu kitaanikwa hadharani..
Taarifa hii ni kwa hisani ya mtu wa Tanganyika..
Ni shiida, tarifa zilizokuwepo ni kwamba wangekuwa hewani kuanzia saa nne hadi saa sita mchana. Baada ya Lowassa kugaragzwa vibaya na Tingatinga, wamesitisha matangazo, NASAKO ameondoka kinyooonge. Poleni sana ITV na UKAWA kwa ujumla.
Wakuu,
Twaweza kupitia utafiti wao wa Sauti Za Wananchi wanazindua utafiti kuelekea Uchaguzi mkuu leo hii, saa nne kamili asbuhi hadi saa sita katika ukumbi wa Makumbusho.
Ripoti hiyo ya #SautiZaWananchi inahusisha vyama vyote vitakavyoshiriki #Uchaguzi2015 katika kugombea kiti cha uraisi.JamiiForums kushirikiana na Twaweza inawaletea LIVE updates ya uzinduzi wa ripoti na tafiti za ripoti hiyo.
Wasalaam!
View attachment 289727
Mkurugenzi wa TWAWEZA
Uzinduzi umeanza rasmi saa 4:10 Asubuhi.
=========
2012 Udiwani asilimia 60 wangepigia CCM
2015 kwenye udiwani asilimia 60 CHADEMA 24% CUF 2% ACT 1% UKAWA 3%
Mwaka 2014 Kwenye ubunge 47% 23% 4%
Mwaka 2015 kwenye ubunge asilimia 60 wangepigia CCM, CHADEMA 26%
Kwenye urais mwaka 2014 wangeipigia kura CCM asilimia 51 na CHADEMA asilimia 23
2015 kwenye urais 66% wangepigia kura CCM, 22% CHADEMA, UKAWA 3%
Kama uchaguzi ungefanyika leo asilimia 65% walisema Magufuli, 25% walisema Lowassa.
Magufuli anapendwa zaidi vijijini na Lowassa vijijini japo kote Magufuli anaongoza, kadri watu wanavyokuwa wazee wanamchagua Magufuli na Lowassa kwa vijana zaidi.
Zaidi ya asilimia 60 ya wasiosoma wako kwa Magufuli, nusu ya wasomi wako kwa Magufuli.
Kwanini utampigia kura mgombea wako, kwa Magufuli ni kwa sababu ni mchapakazi karibu wote na kwa Lowassa asilimia kubwa sababu anaweza kuleta mabadiliko.
acha kura ziongee unakiherehere cha nini?
itv wanajitambua,hawawezi fanyiwa usanii,utafiti kamili ni october 25
Kuna urafiki mkubwa kati ya January Makamba, Maria na Aidan..... Yaani CCM wanajitekenya na kucheka wenyewe
ukweli upo pale pale kelele na fujo zitapungua mjini sasahuu utafiti hauna uhalisia wowote,haureflect the real situation,kwanza hawajasema hao vijana,wanaume,wanawake,wa vijijini na mjini ni % ngapi ya waliojiandikisha,ila afadhari takwimu za kuashiria goli la mkono zimetoka mapema ili ukawa wajipange zaidi kuzuia ili goli,hakika nchi hii wasome uchwara wako wengi ndo maana linchi lenye kila aina ya raslimali halisongi mbele