hata mimi nimeitafuta hiyo siri nzito bila mafanikio!
hii habari imeandikwa na gazeti gani?
Mbona kichwa cha habari na habari yenyewe havina uhusiano?
Mtoa mada kama ni mwandishi umeshindwa kukidhi viwango vya habari yenyewe.
Ni vema ungeandika: Ripoti ya mauaji ya Mwangosi KUTOBOA (na siyo yatoboa) siri.
Ulivyoandika yatoboa ina maana unahabari inyoi-quote ripoti hiyo, na kwenye mada hii habari hiyo haionekani.
Yaani nchimbi anayestahili kujiuzulu na kushitakiwa mahakamani na The Hague anakabidhibiwa report aangalie inapendekeza nini juu yake yeye na majambazi wenzake akina kamuhanda,mwema na Chagonja kisha waamue watakavyo then waendelee kuwa na uhalali wa kuiongoza hii nchi?
tanzania daima