REDIO mbao na bati mitaani zinasema kwamba ripoti ya kuwapigia kura wanaotiliwa shaka dhidi ya mauaji na uponzaji wa mauaji ya maalbino huenda isitoke maana wengi waliopigiwa kura na viongozi wa nani hino na nani hino, yaani, mwanawane, ni wakubwa, wazito, chuma, vigogo na magogo makubwa makubwa tuuuuu!
Nafunga ulimi wangu nisijeambiwa miye mwongo wallahi. Lakini hili nimelipata kwa mweka makaa kwenye jiko la ripoti ya tume husika kweli hivi laweza tena kuwa uzushi ?
Nafunga ulimi wangu nisijeambiwa miye mwongo wallahi. Lakini hili nimelipata kwa mweka makaa kwenye jiko la ripoti ya tume husika kweli hivi laweza tena kuwa uzushi ?