Ripoti ya CAG-Wizi wa fedha za mafuta

Columbus

JF-Expert Member
Nov 5, 2010
2,002
648
Kama sikosei leo asubuhi nimemsikia Zitto (MB) akielezea taarifa ya wizi wa fedha zinazotolewa na wizara ya fedha kwa ajili ya kuagizia mafuta ya petroli. MB Zitto amesisitiza kuwa hizo fedha sio kana kwamba zimeenda kwenye miradi mingine ya serikali bali zimeingia mifukoni mwa watu wanaofahamika.

Swali langu "Rais Jakaya Mrisho Kiwete huwa anapata taarifa hizi za CAG? na kama anazipata anangoja nini kuchukua hatua dhidi ya wabadhifu hawa kufuatia mamlaka tuliyompatia?"kiukweli sipati picha.

Katika tamko la hizi majuzi kuwa utendaji kazi wa kiongozi kama waziri utatathminiwa na kamati kuu ya chama CCM, kama ni kweli basi CCM ianze na hili ili tujenge imani upya.
 
Kama sikosei leo asubuhi nimemsikia Zitto (MB) akielezea taarifa ya wizi wa fedha zinazotolewa na wizara ya fedha kwa ajili ya kuagizia mafuta ya petroli. MB Zitto amesisitiza kuwa hizo fedha sio kana kwamba zimeenda kwenye miradi mingine ya serikali bali zimeingia mifukoni mwa watu wanaofahamika.

Swali langu "Rais Jakaya Mrisho Kiwete huwa anapata taarifa hizi za CAG? na kama anazipata anangoja nini kuchukua hatua dhidi ya wabadhifu hawa kufuatia mamlaka tuliyompatia?"kiukweli sipati picha.

Katika tamko la hizi majuzi kuwa utendaji kazi wa kiongozi kama waziri utatathminiwa na kamati kuu ya chama CCM, kama ni kweli basi CCM ianze na hili ili tujenge imani upya.

Mwezi uliopita (tarehe 31 nadhani), Rais alikua Moshi akifungua jengo la ofisi ya taifa ya ukaguzi mkoa wa Kilimanjaro, aliongelea mamlaka ya wabunge kuhoji uhalali wa ripoti za mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali na kusema hawana mamlaka ya kuhoji uhalali wala kuunda kamati ya kile alichokitolea ripoti akimaanisha once CAG akitoa ripoti, huwa haijadiliwi uhalali wake (kwa mamlaka alopewa CAG). aliongea mambo mengi kuonyesha ripoti hizi anazipata na anazisoma vizuri tu. Lakini ikumbukwe kwamba, haya mambo yana utaratibu wake. sidhani kama CAG atatoa ripoti leo kwamba Mkubya katumia vibaya fedha ya umma then kesho mkaja kunikamata. kuna mambo mengi yanaendelea nchi hii na yana vipaumbele pia. nijuavyo mimi, CAG akishatoa ripoti, kuna mapendekezo huwa anaweka yafanyiwe kazi na kutoa muda. Kama CAG atasema nimetoa ripoti fulani na haijafanyiwa kazi, hapo Rais ana cha kujibu lakini sijasikia hili. tuamini ripoti hizi zinafanyiwa kazi, ila tu si kila ripoti itatolewa maamuzi ambayo umma itaambiwa. Huo ni mtazamo wangu!!!
 
Kama sikosei leo asubuhi nimemsikia Zitto (MB) akielezea taarifa ya wizi wa fedha zinazotolewa na wizara ya fedha kwa ajili ya kuagizia mafuta ya petroli. MB Zitto amesisitiza kuwa hizo fedha sio kana kwamba zimeenda kwenye miradi mingine ya serikali bali zimeingia mifukoni mwa watu wanaofahamika.

Swali langu "Rais Jakaya Mrisho Kiwete huwa anapata taarifa hizi za CAG? na kama anazipata anangoja nini kuchukua hatua dhidi ya wabadhifu hawa kufuatia mamlaka tuliyompatia?"kiukweli sipati picha.

Katika tamko la hizi majuzi kuwa utendaji kazi wa kiongozi kama waziri utatathminiwa na kamati kuu ya chama CCM, kama ni kweli basi CCM ianze na hili ili tujenge imani upya.

distazo tutawapeleka tena st gasper hawa wala rushwa kwa ajili ya semina ELEKEZI,zaidi ya ile ya NGURDOTO
 
Last edited by a moderator:
Mwezi uliopita (tarehe 31 nadhani), Rais alikua Moshi akifungua jengo la ofisi ya taifa ya ukaguzi mkoa wa Kilimanjaro, aliongelea mamlaka ya wabunge kuhoji uhalali wa ripoti za mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali na kusema hawana mamlaka ya kuhoji uhalali wala kuunda kamati ya kile alichokitolea ripoti akimaanisha once CAG akitoa ripoti, huwa haijadiliwi uhalali wake (kwa mamlaka alopewa CAG). aliongea mambo mengi kuonyesha ripoti hizi anazipata na anazisoma vizuri tu. Lakini ikumbukwe kwamba, haya mambo yana utaratibu wake. sidhani kama CAG atatoa ripoti leo kwamba Mkubya katumia vibaya fedha ya umma then kesho mkaja kunikamata. kuna mambo mengi yanaendelea nchi hii na yana vipaumbele pia. nijuavyo mimi, CAG akishatoa ripoti, kuna mapendekezo huwa anaweka yafanyiwe kazi na kutoa muda. Kama CAG atasema nimetoa ripoti fulani na haijafanyiwa kazi, hapo Rais ana cha kujibu lakini sijasikia hili. tuamini ripoti hizi zinafanyiwa kazi, ila tu si kila ripoti itatolewa maamuzi ambayo umma itaambiwa. Huo ni mtazamo wangu!!!

mkubya nimekupata kaka
 
Last edited by a moderator:
Zitto anapiga vuvuzela la kumshangilia Jakaya Mrisho Kikwete.

Bila Jakaya kuanzisha mfumo mpya wa CAG na kubadili sheria za kukagua na kuwasilisha ripoti angeyajuwa hayo?

Namsifu kwa kula lifti.
 
Back
Top Bottom