RIPOTI YA CAG: Miaka mitatu nyuma CUF ilikuwa chini ya Maalim Seif si Prof. Lipumba

Acha kufikiri sisi ni wajinga kama wewe, matumizi ya pesa akina maalim Seif na Mtatiro walijitahidi sana kuzuia ila CCM, MSAJILI WA VYAMA (special agent wa ccm), nk waliruhusu pesa itoke na siku anachota mapesa pale NMB Ilala nilikuwepo pale

Acha kufikiri sisi wajinga.
RIPOTI YA CAG:

Ripoti ya CAG inahusisha Ukaguzi kwa miaka ya Fedha 2016/17; 2017/18 na 2018/19. Kipindi hiki ni kuanzia 01/07/ 2016 hadi 30/06/2019.

Ikumbukwe kwamba mwaka wa kwanza wa Kipindi hiki Cha miaka mitatu Chama kilikuwa mikononi mwa akina Julius Mtatiro, Mhe. Twaha Taslima, Ismail Jusa Ladu na Maalim Seif Sharif Hamad.

Hivyo Mapungufu yaliyojitokeza yanatokana na Ombwe la Uongozi na fedha zilizohamishwa ni sehemu za fedha zilizotumika kununulia magari kupitia kwa Joran Bashange enzi za Maalim Seif Sharif.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
naomba kufamamu kwani ripoti ya C A G Assad ya mwisho iliyo mwondoa ofisini ilikuwa ya mwaka gani wa fedha?
 
RIPOTI YA CAG:

Ripoti ya CAG inahusisha Ukaguzi kwa miaka ya Fedha 2016/17; 2017/18 na 2018/19. Kipindi hiki ni kuanzia 01/07/ 2016 hadi 30/06/2019.

Ikumbukwe kwamba mwaka wa kwanza wa Kipindi hiki Cha miaka mitatu Chama kilikuwa mikononi mwa akina Julius Mtatiro, Mhe. Twaha Taslima, Ismail Jusa Ladu na Maalim Seif Sharif Hamad.

Hivyo Mapungufu yaliyojitokeza yanatokana na Ombwe la Uongozi na fedha zilizohamishwa ni sehemu za fedha zilizotumika kununulia magari kupitia kwa Joran Bashange enzi za Maalim Seif Sharif.
Kakaeni na wapuuzi wenzenu pale Lumumba ndo mjadiliane huu upuuzi. Aliyewanunua kawatumia kama toilet paper sasa anawatema taratibu mnajifanya wajanja wakati uwezo wa kujinasua hamna?
Mmeambiwa na aliyewanunua mlitumia hela ya ruzuku bila idhini ya Katibu Mkuu, kwa akili zenu finyu mnadhani tumesahau ni kipindi gani haya yalitokea?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah, Kaf habari tunashukuru kwa ufafanuzi>>>.

Inasikitisha namna ruzuku zinavyotafunwa huko na wadau, inafikia mahali wanaamua kutumia kwa kufanyia anasa badala ya kusambaza elimu ya uraia. Ununuzi wa magari ni anasa tu. Halafu mnadai kuminywa kwa demokrasia kumbe ni kuminywa kwa mianya ya kupiga kama hivi.
Wewe Bulembo kamlipeni mliyemdhurumu mil.800

Sent using Jamii Forums mobile app
 
RIPOTI YA CAG:

Ripoti ya CAG inahusisha Ukaguzi kwa miaka ya Fedha 2016/17; 2017/18 na 2018/19. Kipindi hiki ni kuanzia 01/07/ 2016 hadi 30/06/2019.

Ikumbukwe kwamba mwaka wa kwanza wa Kipindi hiki Cha miaka mitatu Chama kilikuwa mikononi mwa akina Julius Mtatiro, Mhe. Twaha Taslima, Ismail Jusa Ladu na Maalim Seif Sharif Hamad.

Hivyo Mapungufu yaliyojitokeza yanatokana na Ombwe la Uongozi na fedha zilizohamishwa ni sehemu za fedha zilizotumika kununulia magari kupitia kwa Joran Bashange enzi za Maalim Seif Sharif.
Mavyama ya siasa yote hapa Tz yanaongozwa na mafisady. Hakuna mwenye nafuu
 
Miaka 3 nyuma CUF ilikuwa na mamluki,fedha ilizuiwa,sasa hiyo imetumikaje?labda LIPIMBI anajua,au mboga mboga ndiyo wanataka kumfanya condom sasa,USED.
 
RIPOTI YA CAG:

Ripoti ya CAG inahusisha Ukaguzi kwa miaka ya Fedha 2016/17; 2017/18 na 2018/19. Kipindi hiki ni kuanzia 01/07/ 2016 hadi 30/06/2019.

Ikumbukwe kwamba mwaka wa kwanza wa Kipindi hiki Cha miaka mitatu Chama kilikuwa mikononi mwa akina Julius Mtatiro, Mhe. Twaha Taslima, Ismail Jusa Ladu na Maalim Seif Sharif Hamad.

Hivyo Mapungufu yaliyojitokeza yanatokana na Ombwe la Uongozi na fedha zilizohamishwa ni sehemu za fedha zilizotumika kununulia magari kupitia kwa Joran Bashange enzi za Maalim Seif Sharif.
Pesa za ruzuku kala Lipumba na genge lake la akina Sakaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah, Kaf habari tunashukuru kwa ufafanuzi>>>.

Inasikitisha namna ruzuku zinavyotafunwa huko na wadau, inafikia mahali wanaamua kutumia kwa kufanyia anasa badala ya kusambaza elimu ya uraia. Ununuzi wa magari ni anasa tu. Halafu mnadai kuminywa kwa demokrasia kumbe ni kuminywa kwa mianya ya kupiga kama hivi.
Jingalao ununuzi wa ndege je ?

Sent using tecno tochi
 
Cuf fedha zimetumika bila idhini ya katibu mkuu. So ni professor pumba katumia vibaya
 
Watanzania wa leo siyo wajinga kama wewe Lipumba na Msajili ndio wezi wa Luzuku ya CUF
RIPOTI YA CAG:

Ripoti ya CAG inahusisha Ukaguzi kwa miaka ya Fedha 2016/17; 2017/18 na 2018/19. Kipindi hiki ni kuanzia 01/07/ 2016 hadi 30/06/2019.

Ikumbukwe kwamba mwaka wa kwanza wa Kipindi hiki Cha miaka mitatu Chama kilikuwa mikononi mwa akina Julius Mtatiro, Mhe. Twaha Taslima, Ismail Jusa Ladu na Maalim Seif Sharif Hamad.

Hivyo Mapungufu yaliyojitokeza yanatokana na Ombwe la Uongozi na fedha zilizohamishwa ni sehemu za fedha zilizotumika kununulia magari kupitia kwa Joran Bashange enzi za Maalim Seif Sharif.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hyo mmetafuna hela JUMBA BOVU mmemuangushua MAALIM SEIF

Halafu CAG kasema Ukaguzi ni Wa 2018/19 hii miaka mingine inatoka wapi

SAKAYA M PROF LIPUMBAVU and his co wanajua pesa ziko wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hela ya ruzuku si Profesa alizuia kwa msaada wa msajili wa vyama na kila siku Maalim alikuwa akilalamika hilo mpk wabunge wakajichanga kutengeneza ofisi magomeni

Leo unataka kuwasingizia!?
Umeongea kinyume! Maalim akiwa katibu mkuu ndo aliamuru akaunti zifungwe! Ikumbukwe kulikuwa na chaguzi ndogo zikiendelea ambapo Maalim aliamuru CUF kutoshiriki na badala yake kuichia na kuiunga mkono CHADEMA!
 
RIPOTI YA CAG:

Ripoti ya CAG inahusisha Ukaguzi kwa miaka ya Fedha 2016/17; 2017/18 na 2018/19. Kipindi hiki ni kuanzia 01/07/ 2016 hadi 30/06/2019.

Ikumbukwe kwamba mwaka wa kwanza wa Kipindi hiki Cha miaka mitatu Chama kilikuwa mikononi mwa akina Julius Mtatiro, Mhe. Twaha Taslima, Ismail Jusa Ladu na Maalim Seif Sharif Hamad.

Hivyo Mapungufu yaliyojitokeza yanatokana na Ombwe la Uongozi na fedha zilizohamishwa ni sehemu za fedha zilizotumika kununulia magari kupitia kwa Joran Bashange enzi za Maalim Seif Sharif.
CAG pia alisema Katibu Mkuu aliondoshwa kwenye watia sahihi wa account za CUF bila utaratibu.
Sasa katibu hyo aliepndoshwa alikua nani wakati huo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
RIPOTI YA CAG:

Ripoti ya CAG inahusisha Ukaguzi kwa miaka ya Fedha 2016/17; 2017/18 na 2018/19. Kipindi hiki ni kuanzia 01/07/ 2016 hadi 30/06/2019.

Ikumbukwe kwamba mwaka wa kwanza wa Kipindi hiki Cha miaka mitatu Chama kilikuwa mikononi mwa akina Julius Mtatiro, Mhe. Twaha Taslima, Ismail Jusa Ladu na Maalim Seif Sharif Hamad.

Hivyo Mapungufu yaliyojitokeza yanatokana na Ombwe la Uongozi na fedha zilizohamishwa ni sehemu za fedha zilizotumika kununulia magari kupitia kwa Joran Bashange enzi za Maalim Seif Sharif.
Tafuteni jengine kwa hili naona mmejivua nguooo! mmejiweka uchii jizibeni angalau kwa majani ya mgomba!
 
RIPOTI YA CAG:

Ripoti ya CAG inahusisha Ukaguzi kwa miaka ya Fedha 2016/17; 2017/18 na 2018/19. Kipindi hiki ni kuanzia 01/07/ 2016 hadi 30/06/2019.

Ikumbukwe kwamba mwaka wa kwanza wa Kipindi hiki Cha miaka mitatu Chama kilikuwa mikononi mwa akina Julius Mtatiro, Mhe. Twaha Taslima, Ismail Jusa Ladu na Maalim Seif Sharif Hamad.

Hivyo Mapungufu yaliyojitokeza yanatokana na Ombwe la Uongozi na fedha zilizohamishwa ni sehemu za fedha zilizotumika kununulia magari kupitia kwa Joran Bashange enzi za Maalim Seif Sharif.
Kwa maana hiyo ripoti zingine za miaka hiyo za cag aliyepita zilikuwa feki? AMA KWELI CCM IMEZEEKA KWELIKWELI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom