Ripoti tukio unalolishuhudia sasa

Ripoti tukio unalolishuhudia sasa

Wajad

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2012
Posts
1,321
Reaction score
604
Ulimwenguni kuna bilions of matukio at a sekunde. Hebu ripoti tukio unalolishuhudia sasa mahali ulipo, liwe dogo au kubwa, iwe nyumbani, barabarani, ofisini, nk. Mi hapa namwona boss wa ofisi fulani amesimama nyuma ya kiti cha ps wake akimshika bega.
 
nipo hapa maeneo napata lunch,pemben yangu kaingia dada kaagiza,wakati anasubir kuhudumiwa namuona anachukua cm,yupo bize kweli,nimechungulia nimeona logo ya jf,bila shaka yupo ndani ya chitchat,....sijui nani huyu
 
Ulimwenguni kuna bilions of matukio at a sekunde. Hebu ripoti tukio unalolishuhudia sasa mahali ulipo, liwe dogo au kubwa, iwe nyumbani, barabarani, ofisini, nk. Mi hapa namwona boss wa ofisi fulani amesimama nyuma ya kiti cha ps wake akimshika bega.

he!anamshika bega?,emu niambie respond ya ps iko vp?
 
mi hapa nilipo mvua inanyesha kwa mbali nasikiliza mpira. goli limefungwa lakini sijui timu gani imefunga. subirini hapo hapo ntawaletea update. usibonyeze kidude.
 
Mvua imenyesha kuubwa hapa nilipo ndani ya dakika kumi halafu ikakatika, lol. Mvua za Dar hazina majira jamani,
 
mi hapa nilipo mvua inanyesha kwa mbali nasikiliza mpira. goli limefungwa lakini sijui timu gani imefunga. subirini hapo hapo ntawaletea update. usibonyeze kidude.

Umeshalewa mchana wote huu
 
nipo njian kuelekea msiban,kuna abiria kateremka njian kumbe kabeba na ki-parcel cha abiria mwenzie.bahat nzur yule mwenye ki-parcel kamwona ikabidi amfate. sa cjui alichukua makusud ama alikifananisha na cha kwake. me na wewe hatujui!
 
Mvua imenyesha kuubwa hapa nilipo ndani ya dakika kumi halafu ikakatika, lol. Mvua za Dar hazina majira jamani,

bas mvua huwa ikinyesha kuna mtu kama Madame B huwa namuonea huruma,kwake huwa anakazi ya kuzibua choo,kuna mtu kama Junior. Cux na Erickb52 huwa ngili inawabana kwenye mvua kama ya leo sijui kama wamepona
 
Last edited by a moderator:
nipo njian kuelekea msiban,kuna abiria kateremka njian kumbe kabeba na ki-parcel cha abiria mwenzie.bahat nzur yule mwenye ki-parcel kamwona ikabidi amfate. sa cjui alichukua makusud ama alikifananisha na cha kwake. me na wewe hatujui!

emu angalia vilago vyako vizur visije chukuliwa,ukaanza kudata mara mbili,maana matatzo huwa yanakuja na mambo mengi...
 
URA 1 - 2 APR hiki ni kipindi cha pili. robert sentongo ndo kaifungia URA
 
nyingne hii. . hapa shy kuna kibao cha TANROAD kimeandikwa huruhusiwi kufanya biashara lakn machinga ndo kwanza wametandaza biashara zao pemben ya kibao
 
URA 1 - 2 APR hiki ni kipindi cha pili. robert sentongo ndo kaifungia URA

Wewe na mimi tuko kwa tukio moja, APR & URA huku tukisubiri second mtanange Yanga & Mafunzo
 
Me nipo hom, hubby na mafundi wanasafisha taa, wakati wanasafisha yale maua ya taa 2 zimevunjika, yani nimeckia ayaaaa, 2ngevunja cc wengine 2cngelala humu ndani.
 
Mda huu nipo ndani kwangu naandaa futari huku nacheki Madagascar 3D,Baada ya kutoka kunako Office.

Ila kiubaridi,mmhh.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom