titimunda
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 7,572
- 9,764
Ulitabiri nini chief?Reshuffle is coming.... Utabiri wangu ulikuwa sahihi... Bash boy huyoo over the top
Mkuu usikariri!haitakuja kutokea
Hebu kuweni na huruma nae tena nasikia mbili juzi nimemuona mashindano ya quraaan uwanja wa taifa cream imemkataa kwa mawazo dahhYule aliyejimilikisha shule ya wazazi?
Yajayo yanafurahisha
Majaliwa aachie uwaziri mkuu? Wewe unaota siyo bure.Hii taarifa nimeipata mahali fulani nyeti na inasemekana mawaziri waliofisadi mali za CCM wametakiwa wajiuzulu ili wakamalizane kwanza na chama. Endapo mawaziri hao watasita kujiuzulu basi mamlaka ya uteuzi itawafuta kazi mara moja na chama kitaendelea kuwachukulia hatua za kisheria. Ni hilo tu, ahsante!
Acha hizo! Sredi yetu imefutwa sijui kwa nini! Au ulikuwa umbea tuYule aliyejimilikisha shule ya wazazi?
Mlimwandama hadi kumzushia kifo, naye ana moyo wa nyama mkuiAsante kwa taarifa
Joseverest uko wapi siku hizi mkuu?