gogo la shamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 6,670
- 2,165
hata nyumba za serikali uuzwaji wake unaufisadi na kujinufaisha zaidi kibinafsi,maana walizinunua kwa bei cheee
Naomba kuuliza, hivi hayo yote yamefanyika Mwenyekiti wa CCM akiwa ni yeye JPM au yamefanyika kabla hajawa Mwenyekiti?Safiii JPM
Hao ndugu zako labda hawajapata nafasi za kupiga madili.Ndugu, Wazazi wangu wote ni CCM, NA kuna wengi ni wanachama wa ccm , NA sio wezi wala waporaji. Japokuwa mie sio mshabiki wa chama chochote, ninafuata kile ninachokiona kina faida kwa nchi yangu.
Ndugu usiwatukane wenzio , kumbe wanaweza kuwa wazuri kukushinda wewe NA Uwapendao.
Kwenye hili swala sio kuwa ni Raisi bali ni Mwenyekiti wa chama!Hongera Mh. Rais wetu.. Tumbua tumbua
Jana Rais Magufuli alielekeza sekretariate na viongozi mbalimbali kuchukua hatua kali sana kwa wabadhirifu wa mali za chama huku wengine wakisubiri vikao vya chama. baadhi ya majina yaliyojitokeza katika ripoti hiyo ni kama ifuatavyooo
1. Bulembo: Anashutumiwa kwa kuuza mali za wazazi ikiwemo shule ya Tegeta sekondary kwa bei ya kutupwa. vile vile anatuhumiwa kutumia zaidi ya shillingi millioni 876 kutoka kwenye akaunti ya wazazi bila spending summary kujulikana,
2. Mwakyembe: Anahusishwa na makampuni yaliyofunguliwa chini ya CCM. kutokana na record zilizoko BRELA, Mwakyembe ameonekana mara nyingi akiwa katika makapumpuni hayo. Makampuni hayo yalikuwa yanaiingizia Chama mammilioni ya fedha ila fedha hizo hazikuweza kurekodiwa popote pale kwa miaka mingi.
3. Sixtus Mapunda: Katika shamba la Igumbiro, Iringa Mapunda alijipatia zaidi ya millioni 260 kwa kuuza mashamba hayo huku akifoji muhtasari ya baraza ya wadhamini ya kwamba wamekubali mashamba hayo yauzwe. kwanza, hakuna baraza lililoketi na kupitisha maazimio hayo, pili zaidi ya fedha hizo hazikuwahi kuingia ndani ya jumuiya.
4. Shaka A Shaka: Huyu kwa sasa ni Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM, kwa kipindi kifupi alichokaa, zaidi ya millioni 650 hazijulikani zilipo ikiwemo fedha za mrejesho za mikopo, HSC, na hata tender mbalimbali zilizofanyika chini yake mahesabu yake yamekuwa hayajulikani. pia, katika ununuzi wa magari, mikataba, uchaguzi ulioisha n.k
vile vile zaidi ya makatibu wa mikoa 11, nao wameonekana na kudhibitika kuwa walifanya ubadhirifu. Makatibu wakuu 4 ambao wawili kati yao kwa sasa ni wakuu wa wilaya. wabunge 5 na watumishi wengine ndani ya chama.
Vikao vitakaa muda wowote na Magufuli anaenda kutikisa nchi kwa mara nyingine tena.
Inamaaana majibu ya serikali b
ungeni hukuridhika nayo?
Rubbish and pathetic! Eti nchi inaenda wapi? Hili anguko la uchumi itawachukua miaka 100 kurudi mlikokuwa mwaka 2015!Hii ni njema sana na heshima ya JPM itarudi na huu ndio wakati mzuri wa kucheza siasa , pia afanyie kazi ushauri anaopewa kuhusu bashite ,huyu ndiye aliyeanza kuharibu image yake
Akianza na bashite , pia kuna timu membe ,na kukisafisha chama kama ripoti inavyosema , nawakikishieni , CCM na nchi ya Tanzania , watanzania watafurahia sana
Maana sasa Mambo yameenda kwenye reli
Mtu mwenye akili za kawaida tu hawezi kuridhika na yale majibu ya kitoto. Ila kwa watu wa akili zako mtaridhika.Inamaaana majibu ya serikali bungeni hukuridhika nayo?
Hongera JPM kwa mara nyingine tena.Nilijua kwamba baadhi ya watu na hasa makatibu wa Mikoa na Wilaya wana kesi za kujibu.Ngoja tusubiri movie.Go,go Magu,go.Watatuelewe tu,CCM sio shamba la bibi.Jana Rais Magufuli alielekeza sekretariate na viongozi mbalimbali kuchukua hatua kali sana kwa wabadhirifu wa mali za chama huku wengine wakisubiri vikao vya chama. baadhi ya majina yaliyojitokeza katika ripoti hiyo ni kama ifuatavyooo
1. Bulembo: Anashutumiwa kwa kuuza mali za wazazi ikiwemo shule ya Tegeta sekondary kwa bei ya kutupwa. vile vile anatuhumiwa kutumia zaidi ya shillingi millioni 876 kutoka kwenye akaunti ya wazazi bila spending summary kujulikana,
2. Mwakyembe: Anahusishwa na makampuni yaliyofunguliwa chini ya CCM. kutokana na record zilizoko BRELA, Mwakyembe ameonekana mara nyingi akiwa katika makapumpuni hayo. Makampuni hayo yalikuwa yanaiingizia Chama mammilioni ya fedha ila fedha hizo hazikuweza kurekodiwa popote pale kwa miaka mingi.
3. Sixtus Mapunda: Katika shamba la Igumbiro, Iringa Mapunda alijipatia zaidi ya millioni 260 kwa kuuza mashamba hayo huku akifoji muhtasari ya baraza ya wadhamini ya kwamba wamekubali mashamba hayo yauzwe. kwanza, hakuna baraza lililoketi na kupitisha maazimio hayo, pili zaidi ya fedha hizo hazikuwahi kuingia ndani ya jumuiya.
4. Shaka A Shaka: Huyu kwa sasa ni Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM, kwa kipindi kifupi alichokaa, zaidi ya millioni 650 hazijulikani zilipo ikiwemo fedha za mrejesho za mikopo, HSC, na hata tender mbalimbali zilizofanyika chini yake mahesabu yake yamekuwa hayajulikani. pia, katika ununuzi wa magari, mikataba, uchaguzi ulioisha n.k
vile vile zaidi ya makatibu wa mikoa 11, nao wameonekana na kudhibitika kuwa walifanya ubadhirifu. Makatibu wakuu 4 ambao wawili kati yao kwa sasa ni wakuu wa wilaya. wabunge 5 na watumishi wengine ndani ya chama.
Vikao vitakaa muda wowote na Magufuli anaenda kutikisa nchi kwa mara nyingine tena.
Ni Kwasababu hata Hao CCM nao walizipata kwa njia isiyo halali. Cha mlevi huliwa na mgema..... Mijizi ya CCM
Sio kweli.Mimi ni mwana CCM, lakini sio mwizi na kwa muda mrefu nimekerwa sana na tabia za wana CCM walio wengi za kukumbatia mafisadi kwa nia ya kupata maslahi binafsi.Jambo hili limekiathiri sana chama.kila mwanaccm "either directly or indirectly is a thief"