Ripoti mali za CCM: Mwakyembe, Bulembo, Shaka (UVCCM), Sixtus Mapunda, Makatibu 11 wa Mikoa hawachomoki

Jana Rais Magufuli alielekeza sekretariate na viongozi mbalimbali kuchukua hatua kali sana kwa wabadhirifu wa mali za chama huku wengine wakisubiri vikao vya chama. baadhi ya majina yaliyojitokeza katika ripoti hiyo ni kama ifuatavyooo

1. Bulembo: Anashutumiwa kwa kuuza mali za wazazi ikiwemo shule ya Tegeta sekondary kwa bei ya kutupwa. vile vile anatuhumiwa kutumia zaidi ya shillingi millioni 876 kutoka kwenye akaunti ya wazazi bila spending summary kujulikana,

2. Mwakyembe: Anahusishwa na makampuni yaliyofunguliwa chini ya CCM. kutokana na record zilizoko BRELA, Mwakyembe ameonekana mara nyingi akiwa katika makapumpuni hayo. Makampuni hayo yalikuwa yanaiingizia Chama mammilioni ya fedha ila fedha hizo hazikuweza kurekodiwa popote pale kwa miaka mingi.

3. Sixtus Mapunda: Katika shamba la Igumbiro, Iringa Mapunda alijipatia zaidi ya millioni 260 kwa kuuza mashamba hayo huku akifoji muhtasari ya baraza ya wadhamini ya kwamba wamekubali mashamba hayo yauzwe. kwanza, hakuna baraza lililoketi na kupitisha maazimio hayo, pili zaidi ya fedha hizo hazikuwahi kuingia ndani ya jumuiya.

4. Shaka A Shaka: Huyu kwa sasa ni Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM, kwa kipindi kifupi alichokaa, zaidi ya millioni 650 hazijulikani zilipo ikiwemo fedha za mrejesho za mikopo, HSC, na hata tender mbalimbali zilizofanyika chini yake mahesabu yake yamekuwa hayajulikani. pia, katika ununuzi wa magari, mikataba, uchaguzi ulioisha n.k

vile vile zaidi ya makatibu wa mikoa 11, nao wameonekana na kudhibitika kuwa walifanya ubadhirifu. Makatibu wakuu 4 ambao wawili kati yao kwa sasa ni wakuu wa wilaya. wabunge 5 na watumishi wengine ndani ya chama.

Vikao vitakaa muda wowote na Magufuli anaenda kutikisa nchi kwa mara nyingine tena.
Tetesi: - Haya hapa majina mengine katika Ripoti ya Mali za CCM (Makinikia ya CCM)
CCM yenyewe itachomokaje kwenye kukwapua mali za serikali vikiwemo viwanja vya michezo, shule na nyumba, ndege ya Rais CCM 1 iliwashinda gharama za matunzo wakairudisha bila shuruti.
 
Jana Rais Magufuli alielekeza sekretariate na viongozi mbalimbali kuchukua hatua kali sana kwa wabadhirifu wa mali za chama huku wengine wakisubiri vikao vya chama. baadhi ya majina yaliyojitokeza katika ripoti hiyo ni kama ifuatavyooo

1. Bulembo: Anashutumiwa kwa kuuza mali za wazazi ikiwemo shule ya Tegeta sekondary kwa bei ya kutupwa. vile vile anatuhumiwa kutumia zaidi ya shillingi millioni 876 kutoka kwenye akaunti ya wazazi bila spending summary kujulikana,

2. Mwakyembe: Anahusishwa na makampuni yaliyofunguliwa chini ya CCM. kutokana na record zilizoko BRELA, Mwakyembe ameonekana mara nyingi akiwa katika makapumpuni hayo. Makampuni hayo yalikuwa yanaiingizia Chama mammilioni ya fedha ila fedha hizo hazikuweza kurekodiwa popote pale kwa miaka mingi.

3. Sixtus Mapunda: Katika shamba la Igumbiro, Iringa Mapunda alijipatia zaidi ya millioni 260 kwa kuuza mashamba hayo huku akifoji muhtasari ya baraza ya wadhamini ya kwamba wamekubali mashamba hayo yauzwe. kwanza, hakuna baraza lililoketi na kupitisha maazimio hayo, pili zaidi ya fedha hizo hazikuwahi kuingia ndani ya jumuiya.

4. Shaka A Shaka: Huyu kwa sasa ni Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM, kwa kipindi kifupi alichokaa, zaidi ya millioni 650 hazijulikani zilipo ikiwemo fedha za mrejesho za mikopo, HSC, na hata tender mbalimbali zilizofanyika chini yake mahesabu yake yamekuwa hayajulikani. pia, katika ununuzi wa magari, mikataba, uchaguzi ulioisha n.k

vile vile zaidi ya makatibu wa mikoa 11, nao wameonekana na kudhibitika kuwa walifanya ubadhirifu. Makatibu wakuu 4 ambao wawili kati yao kwa sasa ni wakuu wa wilaya. wabunge 5 na watumishi wengine ndani ya chama.

Vikao vitakaa muda wowote na Magufuli anaenda kutikisa nchi kwa mara nyingine tena.
Tetesi: - Haya hapa majina mengine katika Ripoti ya Mali za CCM (Makinikia ya CCM)
Hawajachomoka tu bado?
 
Back
Top Bottom