Jerlamarel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2021
- 843
- 2,517
Sijui ni kutokuelewa protocols ama ndio business as usual? Ripoti ya uchunguzi wa silaha ilipaswa kuwasilishwa na walioomba uchunguzi huo, sio na aliyechunguza. Mchunguzi kwanza hata alikuwa hana haja, na kama angehitajika basi yeye alipaswa kuleta uthibitisho wa barua ya maombi kutoka ofisi ya DCI.
Ofisi ya DCI ndiyo ilipaswa kuja na hii ripoti kama backup ya kuthibitisha kwamba hawa watuhumiwa walikuwa wanapanga kuwadhuru viongozi kwa hiyo silaha ambayo sasa imethibitishwa kuwa inafanya kazi.
Ndio maana huyu shaidi wa jana alishindwa kuwalink watuhumiwa na uchunguzi wake sababu ripoti ya uchunguzi wake ilipaswa kuwasilishwa na walioomba huo uchunguzi.
Ofisi ya DCI ndiyo ilipaswa kuja na hii ripoti kama backup ya kuthibitisha kwamba hawa watuhumiwa walikuwa wanapanga kuwadhuru viongozi kwa hiyo silaha ambayo sasa imethibitishwa kuwa inafanya kazi.
Ndio maana huyu shaidi wa jana alishindwa kuwalink watuhumiwa na uchunguzi wake sababu ripoti ya uchunguzi wake ilipaswa kuwasilishwa na walioomba huo uchunguzi.