dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,956
- 9,482
Imekuwaje ndugu povu matusi siungemjibu kawaida tu angeelewa?Huna akili ww........
kwa hiyo ww na akili yako ndogo ndio unaona unawazidi wanasharia wa serekali ufahamu!!??
This is ridiculous!!!
kwamba hawajui wanachokifanya......!!!??
ww hata cheti cha sheria huna.......!!?
unajua maana ya addressee.......
mtaalam anapaswa kutoa ushahidi wake wa kitaalam......
Ni kama vile kwenye medical report umuite askari mpelelezi atolee ushahidi wake!!?
itawezekana kweli!?
labda awe amekufa huyo mtaalam
Kuna askari Mpelelezi mwishoni ndio atakuja kutoa link ya matukio yote
Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app