comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,221
- 5,941
POLE- subiri watakapo kuja hao mashahidi halafu mawakili wenu wanaharakati waulize maswaliUnamdanganya Nani na Kwa faida ya Nani? MPELELEZI Mkuu kwenye hii kesi ni Kingai na ameshatoa Investigational evidence mahakamani. Miongoni mwa aliyoulizwa ni kuhusiana na fingerprints na DNA na akasema hakuona haja wala umuhimu wa kuzichukua. Mpaka kesi kuanza kusikilizwa mashahidi na vielelezo vyote vya kesi vinajulikana maana vimeorodheshwa kwenye PH. Mahakama kuu si kama Kwa mjumbe Mkuu.
wakili- umebatizwa
shahidi- sijui
wakili- mheshimiwa jaji naomba swali langu lijibiwe
jaji- uliza tena swali lako
BURE KABISA