Ripoti 2 za Madini zijadiliwe na Bunge kabla ya marekebisho ya sheria za madini.

Kididimo

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
3,791
3,360
Nimepitia ripoti 2 za Tume iliyoundwa na Mh. Rais ktpata ukweli wa hali halisi kwenye sekta ya madini.

Ninampongeza kwa dhati kwa hatua hiyo. Wazo langu linakuja kutokana na namna maamuzi ya mabunge yaliyopita,na baadhi yao wapo bungeni yalivyojionyesha katika ripoti hizi.

Kama tunataka kujenga sekta imara ya madini na yenye tija,hatupaswi kumwachia tu Rais aamue.

Yeye amechokoza hoja,na ameileta mbele ya Watanzania,basi tumsaidie. Bunge ndio wananchi. Tena,kibaya zaidi,waliotajwa na Rais kutaka wachukuliwe hatua wapo Bungeni leo!

Basi tusikie kauli ya bunge linawabanaje kabla ya Serikali. Baada ya hapo,ndo tuanze kurekebisha sheria zetu na mambo mengine.

Naomba kutoa hoja.
 
wanamuonea bure chenge. Yeye alikuwa anatekeleza ilani ya ccm ya kuliibia taifa...
Ccm akiwemo magufuli ni wapumbavu sana kwa sababu haya yote ni sababu yao wote kwa umoja wao dhidi ya rasilimali za watz. Alafu wanaunda mitume kwa kuwapa ulaji wa bure watu wkt walipitisha haya yote kwa mbwembwe huku wakiwatukana watz matusi ya nguoni.
Shame on them ccm + their corrupt leaders
 
Tatizo la nchi hii hakuna kiongozi anaethubutu kueleza ukweli bila unafiki na kuzunguka zunguka. Yani sio ajabu hata huyo chenge nae atasimama na kushangaa vile tulivyo na Sheria mbovu na atahitaji zifutwe na waliohusika wachukuliwe hatua.
 
wanamuonea bure chenge. Yeye alikuwa anatekeleza ilani ya ccm ya kuliibia taifa...
Ccm akiwemo magufuli ni wapumbavu sana kwa sababu haya yote ni sababu yao wote kwa umoja wao dhidi ya rasilimali za watz. Alafu wanaunda mitume kwa kuwapa ulaji wa bure watu wkt walipitisha haya yote kwa mbwembwe huku wakiwatukana watz matusi ya nguoni.
Shame on them ccm + their corrupt leaders
We ni kouma usiyejielewa so kwakua yalitendwa na wana ccm ndio hayatakiwi kulekebishwa, jinga kabisa
 
wanamuonea bure chenge. Yeye alikuwa anatekeleza ilani ya ccm ya kuliibia taifa...
Ccm akiwemo magufuli ni wapumbavu sana kwa sababu haya yote ni sababu yao wote kwa umoja wao dhidi ya rasilimali za watz. Alafu wanaunda mitume kwa kuwapa ulaji wa bure watu wkt walipitisha haya yote kwa mbwembwe huku wakiwatukana watz matusi ya nguoni.
Shame on them ccm + their corrupt leaders
Una uhakika usio na shaka kwamba Sera ya ccm ni kuliibia taifa? Unaweza ukaweka hapa kipengele kinachothibitisha usemalo zezeta wewe?
 
wanamuonea bure chenge. Yeye alikuwa anatekeleza ilani ya ccm ya kuliibia taifa...
Ccm akiwemo magufuli ni wapumbavu sana kwa sababu haya yote ni sababu yao wote kwa umoja wao dhidi ya rasilimali za watz. Alafu wanaunda mitume kwa kuwapa ulaji wa bure watu wkt walipitisha haya yote kwa mbwembwe huku wakiwatukana watz matusi ya nguoni.
Shame on them ccm + their corrupt leaders
Una mandate ya kumtukana raisi wewe? Wazazi wako walizaa hasara kibwa
 
wanamuonea bure chenge. Yeye alikuwa anatekeleza ilani ya ccm ya kuliibia taifa...
Ccm akiwemo magufuli ni wapumbavu sana kwa sababu haya yote ni sababu yao wote kwa umoja wao dhidi ya rasilimali za watz. Alafu wanaunda mitume kwa kuwapa ulaji wa bure watu wkt walipitisha haya yote kwa mbwembwe huku wakiwatukana watz matusi ya nguoni.
Shame on them ccm + their corrupt leaders


Usitumie mku.ndu tu kufikiri....tumia hata akili yako ya kuzaliwa japo hata jidogo.
 
Ninampongeza kwa dhati kwa hatua hiyo. Wazo langu linakuja kutokana na namna maamuzi ya mabunge yaliyopita,na baadhi yao wapo bungeni yalivyojionyesha katika ripoti hizi.

Kama tunataka kujenga sekta imara ya madini na yenye tija,hatupaswi kumwachia tu Rais aamue.

Yeye amechokoza hoja,na ameileta mbele ya Watanzania,basi tumsaidie. Bunge ndio wananchi. Tena,kibaya zaidi,waliotajwa na Rais kutaka wachukuliwe hatua wapo Bungeni leo


Na ikiwezeka wale wote waliohusikia kupitisha sheria hizo wakati huo wasipitishwe kwenye kura za maoni wakati wa kuomba ridhaa ya kuingia bungeni 2020 kwakuwa hawana tofauti na samadi ya punda
 
Bahati mbaya sana,ccm inaamini kuwa tumesahau,Bahati mbaya sana watanzania kwa mujibu Wa lishe yao inawafanya wasahau,Bahati mbaya sana tunaamini kuwa tunaweza kumuunga mkono rais kwa kila jambo kisha baada ya miaka mitano aliyepanda ugonjwa nihuyohuyo atatafuta dawa

Nikweli kuwa ccm imekata pumzi,na hii ndio dalili za kukata roho ila kifo kinachelewesha na vyombo vya habari,viongozi wa dini wakala wachache wa ccm kama Lipumba wanaopokea posho kila siku
 
wanamuonea bure chenge. Yeye alikuwa anatekeleza ilani ya ccm ya kuliibia taifa...
Ccm akiwemo magufuli ni wapumbavu sana kwa sababu haya yote ni sababu yao wote kwa umoja wao dhidi ya rasilimali za watz. Alafu wanaunda mitume kwa kuwapa ulaji wa bure watu wkt walipitisha haya yote kwa mbwembwe huku wakiwatukana watz matusi ya nguoni.
Shame on them ccm + their corrupt leaders
Hivi wakati mnachangia akili zenu huwa mnaziweka pembeni au vipi? Maana unapomtukana waziri wa ujenzi/uvuvi ni mpumbavu huku ukimuacha waziri mkuu unahitaji kupimwa akili, pia najua wakati hiyo miswada inapitishwa ulikuwa bado hujazaliwa, ila baba ako na mama ako walikuwa ni wana CCM, hivyo unaposema ccm wote ni wapumbavu na wazazi wako pia, maana walikuwa ccm wakati huo. Kwani bila kutukana watu hoja hazifiki? Unaweza kujiona mjanja unatukana kumbe hata wazazi wako wamo
 
Bahati mbaya sana,ccm inaamini kuwa tumesahau,Bahati mbaya sana watanzania kwa mujibu Wa lishe yao inawafanya wasahau,Bahati mbaya sana tunaamini kuwa tunaweza kumuunga mkono rais kwa kila jambo kisha baada ya miaka mitano aliyepanda ugonjwa nihuyohuyo atatafuta dawa

Nikweli kuwa ccm imekata pumzi,na hii ndio dalili za kukata roho ila kifo kinachelewesha na vyombo vya habari,viongozi wa dini wakala wachache wa ccm kama Lipumba wanaopokea posho kila siku
Mimi nilidhani tuangalie utaifa zaidi. Ndiyo maana kuna post ya kushauri Mh. Tundu Lisu ashirikiane kikamilifu na serikali na ateuliwe unaibu waziri wa sheria.
 
Katika utaifa nipale ccm ikijinasibu kurekebisha makosa amvayo wanaorekebisha si wanaotoka nje ya nchi au kutawala kupitia upinzani niwale waliokwama kumbana rais asipitishe miswada hii.

Utaifa nikufanya kwa ccm ,utaifa sikwa wapinzani,utaifa upo ccm zaidi ila vyama vya upinza ni hakuna utaifa
Ajabu kweli


Wanaopinga kuwa mkataba ndio tatizo wautoe hadharani!!

Pili,kama tunaibiwa kwenye makontena ,tujiulize " nani aliruhusu mchanga usafirishwe?

Pia,watu Wa Toss wakati zitto akieleza kuibiwa kwetu kwa mini hawakuunga mkono hoja?
Wanaomdharau Lissu wendawazimu tu tena wakujitakia,ambapi wayafanyayo yaliyompata Ahabu na nyumba yake hayatawakosa

Jitieni Pamba masikioni
Mimi nilidhani tuangalie utaifa zaidi. Ndiyo maana kuna post ya kushauri Mh. Tundu Lisu ashirikiane kikamilifu na serikali na ateuliwe unaibu waziri wa sheria.
 
Ingependeza bunge hili linaloendelea hivi sasa,angalau kwa uchache likajadili mambo haya.
 
Sheria zilizozalisha mikataba mibaya zimetungwa na kupitishwa bungeni. Sasa anawanywesha matapishi yao kwa kutokuwa makini. Anawatukana kiaina na wao wanacheka
 
Kura ya ndiooooo ni tatizo ,ifutwe mara moja,wBunge waache kufuata mkumbo,pia waache makundi kusapoti hata yale mambo ya ,hovyo!
 
Kura ya ndiooooo ni tatizo ,ifutwe mara moja,wBunge waache kufuata mkumbo,pia waache makundi kusapoti hata yale mambo ya ,hovyo!
Hawawezi kukiuka kauli au maagizo sahihi ya CHAMA kama sio MWENYEKITI, Hivyo basi itambulike si kwamba wanafuata mkumbo bali wanatii amri toka juu kama maelekezo yanavyowataka. HAWAPO KWA AJILI YA TANZANIA bali kwa matakwa ya Chama chao. Ndio maana walipoagizwa wametii na utadhani si wao! Wacha wale matapishi yao hata ikibidi na mashonde wabugie maana zao ni za kuambiwa
 
Back
Top Bottom