BIGstallion
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 6,324
- 7,919
Aseeh naona miamba na mijabari inaanguka sasa,.. Nothing last forever
Kumbe ndiyo hawa walikuwa wame-Islimisha NSSF!!!!! ndiyo maana kila ofisi ukiingia unapewa salamaleko!!!na Hijbu gubigubi mpaka wafagizi wa ofisini basi jibu limepatikana!!!Hatimaye aliekuwa Mkurugenzi Rasilimaliwatu na utawala NSSF Mwana mama Ustadhat Chiku Matessa Afukuzwa Kazi kwa Matumizi mabaya ya ofisi, kutofuata kanuni, sheria na Taratibu za ajira.
Ikumbukwe kwamba Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu Ubadhilifu(Hasa Udini) katika Michakato ya ajira za NSSF, hivyo basi kuchenjuliwa kwa mwanamama huyu Muhenga aliekuwa Dimba kisheti kwenye ajira za NSSF Itakua ni habari njema sana kwa NSSF wenyewe, Tanzania kwa ujumla, na vijana wenzetu wanaotafuta ajira.
Majina ya vigogo 12 wa NSSF waliofukuzwa kazi
Hatimaye aliekuwa Mkurugenzi Rasilimaliwatu na utawala NSSF Mwana mama Ustadhat Chiku Matessa Afukuzwa Kazi kwa Matumizi mabaya ya ofisi, kutofuata kanuni, sheria na Taratibu za ajira.
Ikumbukwe kwamba Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu Ubadhilifu(Hasa Udini) katika Michakato ya ajira za NSSF, hivyo basi kuchenjuliwa kwa mwanamama huyu Muhenga aliekuwa Dimba kisheti kwenye ajira za NSSF Itakua ni habari njema sana kwa NSSF wenyewe, Tanzania kwa ujumla, na vijana wenzetu wanaotafuta ajira.
Majina ya vigogo 12 wa NSSF waliofukuzwa kazi
Hatimaye aliekuwa Mkurugenzi Rasilimaliwatu na utawala NSSF Mwana mama Ustadhat Chiku Matessa Afukuzwa Kazi kwa Matumizi mabaya ya ofisi, kutofuata kanuni, sheria na Taratibu za ajira.
Ikumbukwe kwamba Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu Ubadhilifu(Hasa Udini) katika Michakato ya ajira za NSSF, hivyo basi kuchenjuliwa kwa mwanamama huyu Muhenga aliekuwa Dimba kisheti kwenye ajira za NSSF Itakua ni habari njema sana kwa NSSF wenyewe, Tanzania kwa ujumla, na vijana wenzetu wanaotafuta ajira.
Majina ya vigogo 12 wa NSSF waliofukuzwa kazi
mleta mada ni mtu wa story za vijiwen ebu angali majina ya wakurugenz hao uone din gan imejaaHatimaye aliekuwa Mkurugenzi Rasilimaliwatu na utawala NSSF Mwana mama Ustadhat Chiku Matessa Afukuzwa Kazi kwa Matumizi mabaya ya ofisi, kutofuata kanuni, sheria na Taratibu za ajira.
Ikumbukwe kwamba Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu Ubadhilifu(Hasa Udini) katika Michakato ya ajira za NSSF, hivyo basi kuchenjuliwa kwa mwanamama huyu Muhenga aliekuwa Dimba kisheti kwenye ajira za NSSF Itakua ni habari njema sana kwa NSSF wenyewe, Tanzania kwa ujumla, na vijana wenzetu wanaotafuta ajira.
Majina ya vigogo 12 wa NSSF waliofukuzwa kazi
mleta mada ni mtu wa story za vijiwen ebu angali majina ya wakurugenz hao uone din gan imejaa
NSSF wakristo wamejaa tele tuachen haya mambo ya kupotosha umma
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Kama nmemuona vile huko juu nae chali, skuiz namuona akili imeanza kumkaa sawaNamsubiri Faiza Foxy
yaani umejuaje kuwa wakristo wapo sita? na waislam wapo sita? , Mfano John Noel msabato anayeshinda baa, ana mke mmoja na michepuko 4 , kazi yake ni kuuza dawa za kulevya, huyu atakua ni mkristo?sasa kama ni udini mkuuu mbona km naona wakristo wako sita na waislami wako 6.we we unaprove VIP hilo unalolisema.
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app