RIP udini kwenye ajira za NSSF

RIP udini kwenye ajira za NSSF

Ma Ndingo

Senior Member
Joined
Dec 28, 2012
Posts
104
Reaction score
197
Hatimaye aliekuwa Mkurugenzi Rasilimaliwatu na utawala NSSF Mwana mama Ustadhat Chiku Matessa Afukuzwa Kazi kwa Matumizi mabaya ya ofisi, kutofuata kanuni, sheria na Taratibu za ajira.

Ikumbukwe kwamba Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu Ubadhilifu(Hasa Udini) katika Michakato ya ajira za NSSF, hivyo basi kuchenjuliwa kwa mwanamama huyu Muhenga aliekuwa Dimba kisheti kwenye ajira za NSSF Itakua ni habari njema sana kwa NSSF wenyewe, Tanzania kwa ujumla, na vijana wenzetu wanaotafuta ajira.

Majina ya vigogo 12 wa NSSF waliofukuzwa kazi
 

Attachments

  • Screenshot_2017-07-13-10-46-17_1.jpg
    Screenshot_2017-07-13-10-46-17_1.jpg
    75.4 KB · Views: 112
  • Screenshot_2017-07-13-10-43-05_1.jpg
    Screenshot_2017-07-13-10-43-05_1.jpg
    24.1 KB · Views: 119
Ila kwa walioachishwa kazi naona 50/50 hapo! Kina sisi na mashehe ngoma kama inabalansi.
 
Hatimaye aliekuwa Mkurugenzi Rasilimaliwatu na utawala NSSF Mwana mama Ustadhat Chiku Matessa Afukuzwa Kazi kwa Matumizi mabaya ya ofisi, kutofuata kanuni, sheria na Taratibu za ajira.
Ikumbukwe kwamba Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu Ubadhilifu(Hasa Udini) katiaka Michakato ya ajira za NSSF, hivyobasi kuchenjuliwa kwa mwanamama huyu Muhenga aliekuwa Dimba kisheti kwenye ajira za NSSF Itakua ni habari njema sana kwa NSSF wenyewe, Tanzania kwa ujumla, na vijana wenzetu wanaotafuta ajira.

Majina ya vigogo 12 wa NSSF waliofukuzwa kaziView attachment 541080View attachment 541081


Hizi ID fake hizi.....

Huyo Maza mbona wanafanana na huyu.........

43551.jpg
 
Udini uliopindukia umebaki idara ya UHAMIAJI Tu kwa sasa.

Kila ukikutana na afisa wa UHAMIAJI possibility ya kukuta ni wa ile DINI ni 80%

Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
 
Huyu Mama na Dr. Dau ni wadini mno. Safi sana kafukuzwa kazi.... NSSF yetu sasa imerejea

Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app
 
Kasoro zenye Kasoro 10/2

Sent from my TECNO-C7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom