RIP Mzee F.M. Ngosha lakini....

RIP Mzee F.M. Ngosha lakini....

Kuna kumbukumbu za zaidi ya miaka 150....sisi hatuna kumbukumbu ya miaka 50 ?? Tuna kitu hakiko sawa sisi waafrika!
Mkuu nchi kama italia zina majengo ya miaka 2000 iliyopita,sisi miaka 50 hatujui nani kachora nembo ya taifa,aibu kubwa, uzembe usioelezeka na kutokujali
 
Mkuu nchi kama italia zina majengo ya miaka 2000 iliyopita,sisi miaka 50 hatujui nani kachora nembo ya taifa,aibu kubwa, uzembe usioelezeka na kutokujali
Unapoipa siasa thamani kubwa na kuifanya ndio kila kitu katika uongozi matokeo yake ndio kama haya
 
Back
Top Bottom