Ilibadilishwa mwaka 1964 baada ya muunganoView attachment 517159
Ni kipindi gani tulikuwa na nembo ya hivyo na ni lini ilibadilishwa!
Ilibadilishwa mwaka baada ya muungano mwaka tufanye tu utafiti
The coat of arms of Tanzania comprises a warrior’s shield which bears a golden portion on the upper part followed underneath by the Flag of Tanzania. It was designed by Mr. Jeremiah Wisdom Kabati, at Bwiru Mwanza in 1961.Kwa maana hiyo ni sahihi kumwita Mbunifu wa Nembo ya Taifa. Hata yule mjane katika mahojiano yale alikiri kwamba alimwona mume wake akichora kwa kuanfalizia katika nembo nyingine.
Kwa hiyo hiyo ndio aliyochora mzee wetu?Ilibadilishwa mwaka 1964 baada ya muungano
Kwakweli sijuiView attachment 517159
Ni kipindi gani tulikuwa na nembo ya hivyo na ni lini ilibadilishwa!
Kuna mdau kasema ni kati ya 1957 - 1964 ilipobadilishwa na kuwa hii ya sasa.Kwakweli sijui
Ila hajazikwa bado mwili upon mochwari ya Muhimbili ukisubiri ndugu zakeNi hoja nzuri pia.
Na apumzike kwa amani mzee Ngosha