pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,352
Sasa uchumi ukiendeshwa kwa wastani wa asilimia flani si inamaanisha kwamba uchumi wenyewe upo pale pale na haukui? Uchumi wa Tz unakua, punguza tantarira buana. Wewe nawe kiingereza haupo kiswahili pia haupo, ruksa kwako kutumia kikikuyu chako tu. Tutajaribu kukuelewa.Swali: JPM anaendesha Uchumi kwa wastani wa asilimia ngapi?