Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
UNAONA SASA!...........Unaogopa nini G, mwaga sera hadharani, we mtoto wa kiume usione aibu, na ukishindwa tutakusaidia maneno mazuri ya kumconvice hapahapa
ndo uzuri wa kuwa na masisteri hapa jamvini!...ngoja nijikumbushe enzi zangu NATONGOZA ILIKUWAJE...!kuna tu-madesa najaribu kuperruzz hapa nikisha kremu tu nitaanza sera!
.........come back shortly eeh!....