Jamani JF members,hivi kweli Ridhiwani ndio achukue page hadi mbili kwa kuoa kwake,au ni kampeni za kupunguza nguvu za JF?Naomba hii tuipuuze kwa sababu haina athari yoyote kwa jamii ya kiTZ
Sie wazaramu sijui tutamka lini.
btw
mikoa ya Musoma, bukoba ni mashaka. na Kilimanjaro ndio balaa.
Balali mke wake ni kilimanjaro moto mtupu.
Wale wote waliooa mabinti wa kichaga wamefanikiwa na kusonga mbele angalieni takwimu
Mke wa Balali sio mchanga, ni mjita wa Majita kutoka kule Musoma
Jamani someni geography. Musoma ni mji mmojawapo wa Mkoa mtukufu wa Mara, na Majita ni mji pia ndani ya Mara, kama ilivyo Tarime, Butyama, etc. kwi kwi kwi.....
Mie sio kwamba kuna kichoniudhi....bali kinanikera. Let's face it people....kwa kweli mnayoongea hapa yanashangaza! Eti watoto wa nani sijui washaolewa? Eti wewe sijui rangi zimefanya nini? I don't think we need this kind of information here! You are either giving us too much information that we don't really need for this discussion, or you're just a loser!
And for your 411, me sio shekhe ati, we kwetu hukujui, na wala hakuna kiwingu wala mvua huku kwetu.
It looks like you have nothing better to do than to discuss other people's lives, so .......GET A LIFE!
Kaazi kweli kweli
Hata mie inaniudhi kweli lakini naamini kuwa mtoa hoja katimiza wajibu wake na kwa kuwa tunaongozwa na rules hapa, endapo hii thread itakuwa imekiuka rules za JF naamini itaondolewa.
pia kuna watu wanapenda sana habari kama hizi, au wewe mwenzetu husomi magazeti ya habari laini?? Mf; uwazi, kiu, sani na makabila mengineyo ya magazeti haya.....
Swadata!,Nimekupata Mkuu.I think Ridhiwani ana secret mission ya ku unite CHADEMA na CCM, kama ametumwa na vingunge mii sijui, only time will tell!
Teh!..tehh!,Duhh!!!.Kweli humu JF mna-raha zake ati!Naomba kuuliza jamani, hivi mashoga nao huwa wanalia wivu kama dada zetu? maana Dar nasikia wengi siku hizi
Kati ya hizo takwimu mie nafahamu wawili tu!:-Wale wote waliooa mabinti wa kichaga wamefanikiwa na kusonga mbele angalieni takwimu
Sie wazaramu sijui tutamka lini.
btw
Ridhwani anamwoa yule binti wa Kichagga Mimi kusema ukweli siwezi saari za kupanda treni.Tulishampa yule binti wa kutoka Tanga ambako angepewa theory an practical lakini wapi siio la kufa halisikii dawa.
Mie nishamwambia Mtawa miguuu yangu mibovu siwezi kwenda Moshi, milima mingi sana kule
sijui nyie mnaonaje kuhusu hili la Moshi?
cha ajabu sijui kama huyo Binti mwenyewe keshachezwa
Tuacheni ukabila na chuki kwa wachagga..watanzania wote ni sawa..na kila kabila lina sifa ya ziada..inawezekana kabisa kinadada wa kichagga hawajachezwa..lakini wakawa na elimu,juhudi na maarifa fulani ambayo muoaji yeyote ataipenda.....madhalani pia vijana wa kichagga wengi siku hizi wanaoa yeyote..kutokana na sifa wanazohitaji kwa mwanamke...ambazo wanafikiri wao au dada zao wanazikosa.....nafikiri kuoleana na kukomaa kwa umoja wa kitaifa!!!!