Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Sie wazaramu sijui tutamka lini.
btw
Ridhwani anamwoa yule binti wa Kichagga Mimi kusema ukweli siwezi saari za kupanda treni.Tulishampa yule binti wa kutoka Tanga ambako angepewa theory an practical lakini wapi siio la kufa halisikii dawa.
Mie nishamwambia Mtawa miguuu yangu mibovu siwezi kwenda Moshi, milima mingi sana kule
sijui nyie mnaonaje kuhusu hili la Moshi?
cha ajabu sijui kama huyo Binti mwenyewe keshachezwa
Sie wazaramu sijui tutamka lini.
btw
Ridhwani anamwoa yule binti wa Kichagga Mimi kusema ukweli siwezi saari za kupanda treni.Tulishampa yule binti wa kutoka Tanga ambako angepewa theory an practical lakini wapi siio la kufa halisikii dawa.
Mie nishamwambia Mtawa miguuu yangu mibovu siwezi kwenda Moshi, milima mingi sana kule
sijui nyie mnaonaje kuhusu hili la Moshi?
cha ajabu sijui kama huyo Binti mwenyewe keshachezwa
Kuna haja gani ya kujadili hili?
Ridhwani ni kizito CCM hiyo category yake inaangukia kama mkubwa na hiki ni kibweka chake kama vile mnaweka vibweka vya akina CHADEMA na wengineo
Duh! sasa numepumua maana nilifikiri ni Mzaramo maana tabia hizo za kuoa mbali wanazo wazaramo wa Bra lakini huyu inaonekana haja qualify
sasa kwa nini Jakaya anajiita Mzaramo ili hali siyo? mwambieni kuwa PUNDA KUZALIWA KWENYE ZIZI LA NGOMBE HALIMFANI KUWA NGOMBE
Hivi wale mabinti wa Zakia Meghji washaolewa?
sie wengine unajua tena wabovu wabovu za rangi zile
?????????????????? R U Serious?
Si mpigiane simu basi, nyie mnoulizana haya? Msituletee mambo ya vijiweni hapa!
?????????????????? R U Serious?
Si mpigiane simu basi, nyie mnoulizana haya? Msituletee mambo ya vijiweni hapa!
wewe haswa linakuudhi nini?
maaana unaonekana una kHasira sana shekhe wangu vipi
au ndio wingu na kijimvua kilichotanda huko kwenu?
pole mkuu taratibu utaumiaaa!!!!
nguvu mtego zitunze zitaisha, hujalipenda tafuta linalokupendeza uchangie. wengi humu hatuwapigii simu, angalia heading ya subforum
Sie wazaramu sijui tutamka lini.
Ridhwani anamwoa yule binti wa Kichagga Mimi kusema ukweli siwezi saari za kupanda treni.Tulishampa yule binti wa kutoka Tanga ambako angepewa theory an practical lakini wapi siio la kufa halisikii dawa.
Mie nishamwambia Mtawa miguuu yangu mibovu siwezi kwenda Moshi, milima mingi sana kule
sijui nyie mnaonaje kuhusu hili la Moshi?
cha ajabu sijui kama huyo Binti mwenyewe keshachezwa
Nakubaliana na wewe Nziku....kwa nini mnaleta thread kama hizi hapa JF? Msimpe umuhimu wa namna hii huyu kijana...he's not worth all this trouble!
Ni jambo la muhimu sana kulijadili hapa.
Mkapa alikuwa mtiifu sana hana rushwa alipooa Machame matokeo yake tunayaona. hadi EPA mama Mkapa kafanyiza. sifa nzuri zote za mkapa zimehabiriwa.
DR.Salmin Amour alikwenda kuoa Kilimanjaro alipomaliza tu urais akakimbiwa na mwanamke wa kichagga na kumuibia kila kitu.
Sumaye alioa mchagga matokeo yake kawa mwizi mkubwa na mrafi.
sio siri kuna maeneo ukitaka kuoa lazima ujiulize mara tatu tatu.
mikoa ya Musoma, bukoba ni mashaka. na Kilimanjaro ndio balaa.
Balali mke wake ni kilimanjaro moto mtupu.
Sie wazaramu sijui tutamka lini.
btw
Ridhwani anamwoa yule binti wa Kichagga Mimi kusema ukweli siwezi saari za kupanda treni.Tulishampa yule binti wa kutoka Tanga ambako angepewa theory an practical lakini wapi siio la kufa halisikii dawa.
Mie nishamwambia Mtawa miguuu yangu mibovu siwezi kwenda Moshi, milima mingi sana kule
sijui nyie mnaonaje kuhusu hili la Moshi?
cha ajabu sijui kama huyo Binti mwenyewe keshachezwa
Ni jambo la muhimu sana kulijadili hapa.
Mkapa alikuwa mtiifu sana hana rushwa alipooa Machame matokeo yake tunayaona. hadi EPA mama Mkapa kafanyiza. sifa nzuri zote za mkapa zimehabiriwa.
DR.Salmin Amour alikwenda kuoa Kilimanjaro alipomaliza tu urais akakimbiwa na mwanamke wa kichagga na kumuibia kila kitu.
Sumaye alioa mchagga matokeo yake kawa mwizi mkubwa na mrafi.
sio siri kuna maeneo ukitaka kuoa lazima ujiulize mara tatu tatu.
mikoa ya Musoma, bukoba ni mashaka. na Kilimanjaro ndio balaa.
Balali mke wake ni kilimanjaro moto mtupu.
Ridhwani ni kizito CCM hiyo category yake inaangukia kama mkubwa na hiki ni kibweka chake kama vile mnaweka vibweka vya akina CHADEMA na wengineo
Duh! sasa numepumua maana nilifikiri ni Mzaramo maana tabia hizo za kuoa mbali wanazo wazaramo wa Bra lakini huyu inaonekana haja qualify
sasa kwa nini Jakaya anajiita Mzaramo ili hali siyo? mwambieni kuwa PUNDA KUZALIWA KWENYE ZIZI LA NGOMBE HALIMFANI KUWA NGOMBE
Hivi wale mabinti wa Zakia Meghji washaolewa?
sie wengine unajua tena wabovu wabovu za rangi zile